JimCarrey
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 214
- 124
Jamani wapendwa mimi mkewangu ni mjamzito hivyo nimeamua kumuekea bili ya maziwa flesh.Lakini kila wakileta hayo maziwa siyaelewi.
Siku nyingine yanakua na harufu mbaya yaani yakichemshwa tu jikoni ukikaa sebuleni unasikia harufu yake sikuingine maziwa yanakua kama yameungwa chumvi na juu kuna mafuta meengi ya njano ambayo yametengana kabisa na maziwa.
Hata ukiyanywa hakuna radha halisi ya maziwa kabisa.Naogopa yanaweza yakawa kwa madhara kwa mtoto ambaye bado hajazaliwa.
Naombeni msaada nijue nini kinawekwa kabla hatujachukua maamuzi ya kununua maziwa ya box
Siku nyingine yanakua na harufu mbaya yaani yakichemshwa tu jikoni ukikaa sebuleni unasikia harufu yake sikuingine maziwa yanakua kama yameungwa chumvi na juu kuna mafuta meengi ya njano ambayo yametengana kabisa na maziwa.
Hata ukiyanywa hakuna radha halisi ya maziwa kabisa.Naogopa yanaweza yakawa kwa madhara kwa mtoto ambaye bado hajazaliwa.
Naombeni msaada nijue nini kinawekwa kabla hatujachukua maamuzi ya kununua maziwa ya box