Uchaguzi wa mwaka 2025 utaandika historia

Uchaguzi wa mwaka 2025 utaandika historia

Daisam

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2016
Posts
2,622
Reaction score
3,144
Bila shaka kila Mtanzania wa leo anaguswa na machungu mbalimbali yanayotokana na ULEGEVU wa Viongozi wetu waliopo sasa.

Mbaya zaidi, Wabunge waliotakiwa kutusemea na kututetea sisi Wapigaji kura wao, wametugeuka na wameungana na watawala.

Kwa hiyo sasa, Wabunge badala ya kututetea sisi Wapigaji kura wao, wanaitetea Serikali zaidi.
Kwa udhaifu huo, Serikali inafanya inachoweza kwa sababu hakuna wa kuikemea.
Hatma ya haya yote ni Uchaguzi wa mwaka 2025.
Hapo Tanzania utaandika Historia mpya kabisa.
Hatuwezi kuendelea na hali hii.

Kila Mbunge atakayegombea tena 2025, lazima kwanza aeleze amefanya nini katika kipindi cha miaka mitano iliyopita?

TOZO zimejaa kila kona, je, yeye kama Mbunge alifanya jitihada gani kuzuia uhalifu huo?
 
Hili ndilo tatizo kubwa wengi wa wawakilishi wetu hawakuchaguliwa kwa kura halali, hivyo hawana uchungu na hizo nafasi, ndio maana baadhi ya mawaziri wenye dhamana wanawajibu watu wanavyotaka kuhusu tozo, kukatika umeme hovyo hovyo, sababu ni nani anaweza kuwawajibisha?

sawa mamlaka za uteuzi zinaweza wawajibisha lakini mifano ni mingi, hakuna zaidi ya kutenguliwa na kuchaguliwa mwingine, ila kama kuna uharibifu wa mali za umma hawawajibishi inavyotakiwa na hii nikutokana ubovu sheria zetu au kutozifuata, kila uchwao wale wanaojitahidi kutetea wananchi wanamalizwa kisiasa, kiuchumi na wengine kuuwawa, mifano ni mingi.

Hii imesababisha wananchi wamepoteza tumaini kabisa wanaona bora liende tu, wengi wamejiunga kwenye ushabiki wa mipira, kwenye kubet, sababu kila mahali mambo ni siasa za kilagailagai, na ukitaka kukosana na watawala tamka habari ya katiba mpya na tume huru, ambayo kwa maoni yangu hiyo ndo ingeondoa tabaka la watu wanaopata vyeo kwa kupewa kama zawadi au kwa maslahi ya anayekupa.
 
Kila uchaguzi unatabiriwaga hivyo lakini mwisho wa siku... Tanzania kuna Roho ya woga sana na hii itatugharimu mno . Hatuna uthubutu wa kujikomboa
 
Bila shaka kila Mtanzania wa leo anaguswa na machungu mbalimbali yanayotokana na ULEGEVU wa Viongozi wetu waliopo sasa.

Mbaya zaidi, Wabunge waliotakiwa kutusemea na kututetea sisi Wapigaji kura wao, wametugeuka na wameungana na watawala.

Kwa hiyo sasa, Wabunge badala ya kututetea sisi Wapigaji kura wao, wanaitetea Serikali zaidi.
Kwa udhaifu huo, Serikali inafanya inachoweza kwa sababu hakuna wa kuikemea.
Hatma ya haya yote ni Uchaguzi wa mwaka 2025.
Hapo Tanzania utaandika Historia mpya kabisa.
Hatuwezi kuendelea na hali hii.

Kila Mbunge atakayegombea tena 2025, lazima kwanza aeleze amefanya nini katika kipindi cha miaka mitano iliyopita?
TOZO zimejaa kila kona, je, yeye kama Mbunge alifanya jitihada gani kuzuia uhalifu huo?

Kwa tume hii iliyo chini ya ccm usitegemee lolote la maana. Kwanza chaguzi zetu hazitoi nafasi ya kumuweka kiongozi yoyote kitimoto, sana sana ataishia kupita kwenye kampeni na kuhubiri atakacho bila kuulizwa chochote.

Mfano halisi, mkutano wa kampeni ni wa masaa matatu, masaa mawili na nusu ni ya burudani, propaganda na vijembe toka kwa wapambe wa mgombea. Kisha nusu saa ni ya mgombea, dakika kumi ni za yeye kusalimia na kumsifia rais. Kisha anatumia dakika 10 kujiuza, kama kuna maswali ni machache nayo ni chini ya dakika 5, na sio lazima atoe majawabu, bali anaweza kutoa majibu ndio ntolee. Dakika 5 zilizobaki ni za kushukuru na kuaga.

Ikifika siku ya uchaguzi iwapo hatafanikiwa kutumia mbinu chafu ya kupita bila kupingwa, polisi na tume ya uchaguzi wataratibu mabox ya kura za mchongo kwenye kituo cha kura, kisha mgombea atatangazwa penda msipende. Bila kutokea machafuko usitegemee tofauti na yale ya 2020.
 
Ipo siku ambayo ,Udharimu huu unao fanywa na CCM utafika mwisho, Hakuna marefu yasiyo na ncha!! Jamii ya Ki-Tanzania imeerimika ,watu wanafahamu na kutambua haki zao, ni suala la muda, wakati utaaamua.


WANGECI WA NGUGI.

Tatizo hapa Tanzania sio kuelimika bali uoga. Kwa uoga huu tulionao, hata kila mtaka mageuzi akiwa na PhD itakuwa kazi bure.
 
Bila shaka kila Mtanzania wa leo anaguswa na machungu mbalimbali yanayotokana na ULEGEVU wa Viongozi wetu waliopo sasa.

Mbaya zaidi, Wabunge waliotakiwa kutusemea na kututetea sisi Wapigaji kura wao, wametugeuka na wameungana na watawala.

Kwa hiyo sasa, Wabunge badala ya kututetea sisi Wapigaji kura wao, wanaitetea Serikali zaidi.
Kwa udhaifu huo, Serikali inafanya inachoweza kwa sababu hakuna wa kuikemea.
Hatma ya haya yote ni Uchaguzi wa mwaka 2025.
Hapo Tanzania utaandika Historia mpya kabisa.
Hatuwezi kuendelea na hali hii.

Kila Mbunge atakayegombea tena 2025, lazima kwanza aeleze amefanya nini katika kipindi cha miaka mitano iliyopita?
TOZO zimejaa kila kona, je, yeye kama Mbunge alifanya jitihada gani kuzuia uhalifu huo?
Tungefanya kitu kuondokana na hii serkali ya tozo kabla hata ya 2025.
 
Hili ndilo tatizo kubwa wengi wa wawakilishi wetu hawakuchaguliwa kwa kura halali, hivyo hawana uchungu na hizo nafasi, ndio maana baadhi ya mawaziri wenye dhamana wanawajibu watu wanavyotaka kuhusu tozo, kukatika umeme hovyo hovyo, sababu ni nani anaweza kuwawajibisha?

sawa mamlaka za uteuzi zinaweza wawajibisha lakini mifano ni mingi, hakuna zaidi ya kutenguliwa na kuchaguliwa mwingine, ila kama kuna uharibifu wa mali za umma hawawajibishi inavyotakiwa na hii nikutokana ubovu sheria zetu au kutozifuata, kila uchwao wale wanaojitahidi kutetea wananchi wanamalizwa kisiasa, kiuchumi na wengine kuuwawa, mifano ni mingi.

Hii imesababisha wananchi wamepoteza tumaini kabisa wanaona bora liende tu, wengi wamejiunga kwenye ushabiki wa mipira, kwenye kubet, sababu kila mahali mambo ni siasa za kilagailagai, na ukitaka kukosana na watawala tamka habari ya katiba mpya na tume huru, ambayo kwa maoni yangu hiyo ndo ingeondoa tabaka la watu wanaopata vyeo kwa kupewa kama zawadi au kwa maslahi ya anayekupa.
Saa inakuja ambapo Watawala wasiojali maisha ya Wananchi watajutia hata kushika nyadhifa hizo.
 
Tungefanya kitu kuondokana na hii serkali ya tozo kabla hata ya 2025.
We subiri tu, kuna siku utawaka moto mkali sana. Hapo ndipo tutakapoanza kuheshimiana. Viongozi wataheshimu mawazo na matakwa ya wengi.
 
Kiukweli kama Watanzania watahakikishiwa Tume Huru kama hii ya Kenya na upinzani ukaweka mtu mwenye nguvu na uelewa( Sio Lissu), CCM wakishinda ni kwa tofauti labda ya kura 100 ila Bunge tunaenda kuligawa kati na hapo Rais wa CCM ajiandae kuondoka kwa kura ya kukosa imani naye.
 
Bila shaka kila Mtanzania wa leo anaguswa na machungu mbalimbali yanayotokana na ULEGEVU wa Viongozi wetu waliopo sasa.

Mbaya zaidi, Wabunge waliotakiwa kutusemea na kututetea sisi Wapigaji kura wao, wametugeuka na wameungana na watawala.

Kwa hiyo sasa, Wabunge badala ya kututetea sisi Wapigaji kura wao, wanaitetea Serikali zaidi.
Kwa udhaifu huo, Serikali inafanya inachoweza kwa sababu hakuna wa kuikemea.
Hatma ya haya yote ni Uchaguzi wa mwaka 2025.
Hapo Tanzania utaandika Historia mpya kabisa.
Hatuwezi kuendelea na hali hii.

Kila Mbunge atakayegombea tena 2025, lazima kwanza aeleze amefanya nini katika kipindi cha miaka mitano iliyopita?

TOZO zimejaa kila kona, je, yeye kama Mbunge alifanya jitihada gani kuzuia uhalifu huo?
Unaota na kujifariji tuu humu jf,hakuna wa kuitoa ccm kwa sasa.
 
Ndio maana amesema kuna uoga fulani kwakuwa tuna watu aina yako msiojua baya na zuri
Hakuna wapinzani wa kuwachagua,yaani nichague mtu mpuuzi kama huyu hapa chini anaetutukana? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220822-105620.png
    Screenshot_20220822-105620.png
    100.3 KB · Views: 9
Tanzania hakuna "Tume Huru" bali kuna "Tume Mtu". Kwahiyo uchaguzi wa 2025 hauna jipya.

Wale waliosoma Cuba wamenielewa
 
Back
Top Bottom