Uchaguzi wa madiwani CCM Arusha rushwa njenje

Uchaguzi wa madiwani CCM Arusha rushwa njenje

makesy

Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
75
Reaction score
32
Napenda kuwajulisha kuwa mgombea wa CCM kata ya themi niliemjua kwajina moja la Victer leo alikuwa anagawarushwa waziwazi katika ofisi ya CCM iliyoko maeneo ya kambini.

Ameandikisha majina ya akinamama mitaani kwa kutumia wamama fulani mmoja ni muumini wa kanisa la RC na mwingine ni muumini wa dhehebu la Kisabato wamama hawa wawili walipita mtaani wakiandikisha majina ya akina mama wenzao akiweko mke wangu na leo ndio wameitwa kugawiwa pesa ili wamchague.

Ushauri
Napenda kuwashauri wamama wote waliochukua rushwa hiyo ya sh 2,268.60 wasidanganyike kumpa huyo kijana udiwani maana kama alikuwa mzuri na anajiamini ni kiongozi anaefaa kwanini atoe rushwa na mkiona kiongozi anaetaka madaraka kwa kutoa rushwa huyo hafai pia nawasikitikia mama zangu kweli mtu anaweza kukudanganya ukauza utu wako kwa sh2,268.60? Najua wengi watauliza nimepata wapi figa hiyo mchanganuo ni kwamba wamama walikuwa 46 jamaa akatoa sh1,05000
 
Yaani unataka kutuambia kuwa thamani ya mkeo ni shilingi 2,000? Haya ni matusi ya nguoni. Kwa nini alizipokea?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Yaani unataka kutuambia kuwa thamani ya mkeo ni shilingi 2,000? Haya ni matusi ya nguoni. Kwa nini alizipokea?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
unajua mkewangu ni mwelewa na kila anachokifanya ananishirikisha alivyoandikwa jina aliniambia alipopigiwa cm akaambiwa kuna kikao aliniuliza niende na mimi kwakua nataka kujua wenzetu wanatumia mbinu gani nikamwambia neda ukaone wanachowaitia aliporudi si ndo kanipa sera? sasa asingepokea unadhani wangemwelewaje wewe unataka mkewangu angolewe kucha???
 
unajua mkewangu ni mwelewa na kila anachokifanya ananishirikisha alivyoandikwa jina aliniambia alipopigiwa cm akaambiwa kuna kikao aliniuliza niende na mimi kwakua nataka kujua wenzetu wanatumia mbinu gani nikamwambia neda ukaone wanachowaitia aliporudi si ndo kanipa sera? sasa asingepokea unadhani wangemwelewaje wewe unataka mkewangu angolewe kucha???

Mkuu hata kama ni shilingi mbili mwambie achukue, ila siku ya kura asimpe. Enezeni ujumbe kwa kina mama wote. Kula CCM kura Chadema
 
Yaani unataka kutuambia kuwa thamani ya mkeo ni shilingi 2,000? Haya ni matusi ya nguoni. Kwa nini alizipokea?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
waache wachukue ila kura wasiwape.
 
Waambie watu wote hizo pesa wawahi kuzichukua, ni pesa zao walizoibiwa na serikali ya CCM sasa wanarudishiwa.
Ila mwisho wa siku kura kwa CHADEMA.
 
Vitani kuna signal, peaneni taarifa kwa signal msije mkauwawa, pia kumbukeni kulinda kura.
 
wajengeeni watu ujasiri wa kula pesa ya ccm bila kuichagua.nahii inawezekana sana tu,waelezeni hyo ni pesa yao ambayo ilitakiwa kuwaletea maendeleo,ila ccm huikwapua nakuitunza kwanjia zawizi,ili zikifika chaguzi wazitumie kuonga ili wakichaguliwa wakaibe tena.hakuna sehemu ambayo ccm walitumia pesa nyingi kama musoma.lakini tilitoa somo hili kwa wananchi wakatuelewa,na tukawa jimbo lakwanza kutangazwa nchi nzima.
 
Hiyo pesa ni haki yenu ya kimsingi kabisa tena waambieni hao wakezenu wamweleze huyo bwana kunawatu wengi zaidi wanamwunga mkono aongeze pesa mzile mwizi mkubwa huyo.
 
Back
Top Bottom