Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Taarifa kwa wanachama,wadau,wapenzi na mashabiki wa chadema muheza na kwingineko,uchaguzi wa ndani ya chama ngazi ya wilaya utafanyika tarehe tajwa hapo juu,leo 22/7/2014 fomu zimeanza kutolewa kwa wagombea walio tia nia,mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu 29/7/2014 kwa mujibu wa miongozo ya chama,wale wote walio tia nia wafike ofice ya chadema wilaya kuanzia 2 am-4pm,
Tahadhari kampeni katika chadema zina miongozo yake na idara ya usalama inafanya kazi usiku na mchana kubaini mamruki na wanao kiuka taratibu za chama;nafasi zinazogombewa m/k (w),katibu(w),mwenezi(w),mwekahazina(w) na mjumbe wa mkutano mkuu taifa,vivyo hivyo kwa mabaraza ya chama wilaya;taarifa zaidi fika ofice ya chadema muheza mapema sana
Tahadhari kampeni katika chadema zina miongozo yake na idara ya usalama inafanya kazi usiku na mchana kubaini mamruki na wanao kiuka taratibu za chama;nafasi zinazogombewa m/k (w),katibu(w),mwenezi(w),mwekahazina(w) na mjumbe wa mkutano mkuu taifa,vivyo hivyo kwa mabaraza ya chama wilaya;taarifa zaidi fika ofice ya chadema muheza mapema sana