Uchaguzi wa CHADEMA Muheza 2/8/2014

Uchaguzi wa CHADEMA Muheza 2/8/2014

Riziki Magembe

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
886
Reaction score
206
Taarifa kwa wanachama,wadau,wapenzi na mashabiki wa chadema muheza na kwingineko,uchaguzi wa ndani ya chama ngazi ya wilaya utafanyika tarehe tajwa hapo juu,leo 22/7/2014 fomu zimeanza kutolewa kwa wagombea walio tia nia,mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu 29/7/2014 kwa mujibu wa miongozo ya chama,wale wote walio tia nia wafike ofice ya chadema wilaya kuanzia 2 am-4pm,

Tahadhari kampeni katika chadema zina miongozo yake na idara ya usalama inafanya kazi usiku na mchana kubaini mamruki na wanao kiuka taratibu za chama;nafasi zinazogombewa m/k (w),katibu(w),mwenezi(w),mwekahazina(w) na mjumbe wa mkutano mkuu taifa,vivyo hivyo kwa mabaraza ya chama wilaya;taarifa zaidi fika ofice ya chadema muheza mapema sana
 
kila la heri makamanda kuweni macho na majitu mamluki
 
Kila kheri,tupo pamoja na hakikisheni mnachagua kikosi cha ushindi kilicho tayari kupambana na wasaliti wasipewe nafasi kabisa.
 
Tukishamaliza kuwaondoa mamluki wote wa Zitto ndio tutaitisha Baraza Kuu!
 
Last edited by a moderator:
Pamoja sana Home hapo,lazima wapatikane viongozi waadilifu watakaotuvusha hadi kuchukua nchi,wana Muheza haasa wanachama wa Chadema na wapenzi wapenda mabadiliko huu ndio wakati muafaka ikiwa ndio njia ya kuelekea chaguzi muhimu sana zile za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu hapo 2015.Tuwe makini sana wana wa Muheza tuna shida kibao hasa maji maji maji Muheza lol
 
Pamoja sana Home hapo,lazima wapatikane viongozi waadilifu watakaotuvusha hadi kuchukua nchi,wana Muheza haasa wanachama wa Chadema na wapenzi wapenda mabadiliko huu ndio wakati muafaka ikiwa ndio njia ya kuelekea chaguzi muhimu sana zile za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu hapo 2015.Tuwe makini sana wana wa Muheza tuna shida kibao hasa maji maji maji Muheza lol

Mkuu hili swala maji na muheza hata sielewi kwa nini ccm inaendelea kuongoza.
 
Mkuu hili swala maji na muheza hata sielewi kwa nini ccm inaendelea kuongoza.
Kuna umuhimu sana wa kutoa darasa kwa wana Muheza nyumba kwa nyumba maake ni maaajabu watu wanateseka na kwa ukoisefu wa kutopata maji na kila chaguzi wanaahidiwa maji na maji hawayaoni lakini baado wako na CCM tu shida sana sijui ni Elimu ndogo au maake kusema kweli watu wetu wengi walikimbia shule na hili nalo nitatizo sanaa si Muheza tu bali Tanga yote sie ni watu wa ajabu sana
 
Kuna umuhimu sana wa kutoa darasa kwa wana Muheza nyumba kwa nyumba maake ni maaajabu watu wanateseka na kwa ukoisefu wa kutopata maji na kila chaguzi wanaahidiwa maji na maji hawayaoni lakini baado wako na CCM tu shida sana sijui ni Elimu ndogo au maake kusema kweli watu wetu wengi walikimbia shule na hili nalo nitatizo sanaa si Muheza tu bali Tanga yote sie ni watu wa ajabu sana

Mabadiliko yanakuja mgosi
 
Back
Top Bottom