Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,869
Hata kabla ya Uchaguzi, Bunge la Umoja wa Ulaya lilikuzungumzia sana namna unavyoteka na kupoteza watu.
Ulivyo na kiburi uliwapuuza. Ukazidi kuwateka, kuwafira, kuwaua na kuwafungulia kesi za Uongo Watanganyika.
Ukamkamata mwenyekiti wa Chadema wakakuambia muachie ukasema wewe hupangiwi. Ukakizuia Chama chake kufanya siasa wakakwambia kifungulie ukasema wewe nchi huru hupangiwi.
Ukawazuia hadi Madalali wako ACT kugombea Urais wakakusema ukaleta kiburi. Sasa wameanza kukuchukulia hatua unalalamika nini?
Wazungu ni watu wastaarabu sana. Uzuri kabla hawajakuchukulia hatua uwa wanakupa ushirikiano wa kila namna. Wanakuonya kwenye kila hatua. Na inapofika hatua ya kukuchukulia adhabu pia wanakwambia.
Umefanya uchaguzi ambao hadi wasimamizi wa Afrika ambao siku zote wanajulikana kuwabeba waafrika wenzao wamekukataa. Wamesema uchaguzi haukuwa huru na wa haki. Mbaya zaidi ukaua maelfu ya watu na sasa Dunia nzima inataka uwajibishwe.
Kwa tulipofika hakuna namna mnaweza chomoka kuanzia wewe mwenyewe Samia na watu wako DGIS, IGP na CDF.
Mjadala wa Bunge la EU sio tu utaenda kuwaambia Nchi wanachama wasitoe fedha zao kwa Tanzania bali unaenda pia kuwaambia rasmi ICC wawachukulie hatua kali nyie mliua Watanganyika kikatili sana.
Hamuwezi kumwaga damu za Watanganyika namna hii na mkabaki salama.
Tukutane ICC
Ulivyo na kiburi uliwapuuza. Ukazidi kuwateka, kuwafira, kuwaua na kuwafungulia kesi za Uongo Watanganyika.
Ukamkamata mwenyekiti wa Chadema wakakuambia muachie ukasema wewe hupangiwi. Ukakizuia Chama chake kufanya siasa wakakwambia kifungulie ukasema wewe nchi huru hupangiwi.
Ukawazuia hadi Madalali wako ACT kugombea Urais wakakusema ukaleta kiburi. Sasa wameanza kukuchukulia hatua unalalamika nini?
Wazungu ni watu wastaarabu sana. Uzuri kabla hawajakuchukulia hatua uwa wanakupa ushirikiano wa kila namna. Wanakuonya kwenye kila hatua. Na inapofika hatua ya kukuchukulia adhabu pia wanakwambia.
Umefanya uchaguzi ambao hadi wasimamizi wa Afrika ambao siku zote wanajulikana kuwabeba waafrika wenzao wamekukataa. Wamesema uchaguzi haukuwa huru na wa haki. Mbaya zaidi ukaua maelfu ya watu na sasa Dunia nzima inataka uwajibishwe.
Kwa tulipofika hakuna namna mnaweza chomoka kuanzia wewe mwenyewe Samia na watu wako DGIS, IGP na CDF.
Mjadala wa Bunge la EU sio tu utaenda kuwaambia Nchi wanachama wasitoe fedha zao kwa Tanzania bali unaenda pia kuwaambia rasmi ICC wawachukulie hatua kali nyie mliua Watanganyika kikatili sana.
Hamuwezi kumwaga damu za Watanganyika namna hii na mkabaki salama.
Tukutane ICC