Uchaguzi ukirudiwa tena Zanzibar CCM wakashindwa tena uchaguzi utarudiwa?

Emma.

JF-Expert Member
Jun 25, 2012
19,932
5,563
Heshima kwenu Wana JF

. Kinachoendelea Zanzibar mpaka sasa kinavunja moyo wa uvumilivu kwa viongozi na wanachama wa CUF.. kinachoendelea zanzibar ni ishara tosha jinsi viongozi wengi wa Afrika wanapenda kung'ang'ania madaraka kwa nguvu. Uchaguzi umefanyika kura zimehesabiwa zote matokeo yakaanza kutangazwa baadaye mizengwe tukasikia Jecha amefuta matokeo mpaka leo hakuna muafaka kati ya CCM wala CUF kwa sababu CCM wanataka uchaguzi urudiwe na CUF msimamo wao hawataki uchaguzi urudiwe wanataka tume ya uchaguzi kutangaza mshindi aliyeshinda. Je uchaguzi ukirudiwa CCM wakashindwa tena watakubali matokeo au uchaguzi utarudiwa tena?
 
Last edited by a moderator:
rangi ya kijan ni rangi ya majan bt cjuh ni majan gani hawa watu wanatumia mpaka wanakuja na maamuz ya kurudia uchaguz hv ni nani atakubari kushndwa matokeo yaktangazwa leo tanzania ni maskini leo 2natumia mabilion kurudia uchaguz mm nadhan ccm wajitangaze 2 washndi 2endelee na maisha kuliko kuidanganya dunia kwa kurudia uchaguz
 
Heshima kwenu Wana JF

. Kinachoendelea Zanzibar mpaka sasa kinavunja moyo wa uvumilivu kwa viongozi na wanachama wa CUF.. kinachoendelea zanzibar ni ishara tosha jinsi viongozi wengi wa Afrika wanapenda kung'ang'ania madaraka kwa nguvu. Uchaguzi umefanyika kura zimehesabiwa zote matokeo yakaanza kutangazwa baadaye mizengwe tukasikia Jecha amefuta matokeo mpaka leo hakuna muafaka kati ya CCM wala CUF kwa sababu CCM wanataka uchaguzi urudiwe na CUF msimamo wao hawataki uchaguzi urudiwe wanataka tume ya uchaguzi kutangaza mshindi aliyeshinda. Je uchaguzi ukirudiwa CCM wakashindwa tena watakubali matokeo au uchaguzi utarudiwa tena?
uchaguzi utafutwa tena na kutangazwa kurudiwa baada ya siku 90. haijalishi ni jecha 1 au jecha 2 atakayetangaza.
 
Heshima kwenu Wana JF

. Kinachoendelea Zanzibar mpaka sasa kinavunja moyo wa uvumilivu kwa viongozi na wanachama wa CUF.. kinachoendelea zanzibar ni ishara tosha jinsi viongozi wengi wa Afrika wanapenda kung'ang'ania madaraka kwa nguvu. Uchaguzi umefanyika kura zimehesabiwa zote matokeo yakaanza kutangazwa baadaye mizengwe tukasikia Jecha amefuta matokeo mpaka leo hakuna muafaka kati ya CCM wala CUF kwa sababu CCM wanataka uchaguzi urudiwe na CUF msimamo wao hawataki uchaguzi urudiwe wanataka tume ya uchaguzi kutangaza mshindi aliyeshinda. Je uchaguzi ukirudiwa CCM wakashindwa tena watakubali matokeo au uchaguzi utarudiwa tena?
Waangalizi wa uchaguzi wandani ya nchi pamoja na wale wa nje ya nchi wote wanakiri kwa kauli moja kwamba uchaguzi mkuu ulikuwa huru na wa haki lakini tume ambayo ndiyo iliyowaalika waangalizi inasema uchaguzi haukuwa huru na urudiwe. Katika hali kama hiyo unategemea nini. Kumetokea fujo katika kituo kimoja, kituo hicho kirudie kupiga kura si nchi nzima kwa kosa la kituo kimoja chenye wapigakura wasiyozidi mia nne na hamsini.
 
Marudio ya uchaguzi yatakoma tu pale ccm itakapishinda. Someni katiba jamani.


Yap. Kwa Zanzibar ya Ali Karume Decree 1 (a) inasema "Chama kinachoruhusiwa kushinda kiti cha Urais wa Zanzibar ni CCM tu. Pindipo kikatokea Chama chengine kisichokuwa CCM kikashinda kiti cha Urais basi uchaguzi utarejewa.
 
Kama CUF hawatashiriki itakuwa kama CCM inashindana peke yake. Na kibaya zaidi CUF watapoteza hata hiyo nafasi ya VP. Kwa mazingira yaliyopo hakuna yeyote wa kufanya chochote
 
Kama CUF hawatashiriki itakuwa kama CCM inashindana peke yake. Na kibaya zaidi CUF watapoteza hata hiyo nafasi ya VP. Kwa mazingira yaliyopo hakuna yeyote wa kufanya chochote
kinachofanyika sasa ni zaidi ya maigizo ccm wakishindwa tena watakubali matokeo?
 
Nafahamu uchaguzi utarudiwa kwa lazima
ila sahau sisiem kushindwa mana hapo zitaibwa kula jua linawaka
 
Back
Top Bottom