mwanawao
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 3,220
- 5,888
Wadau siku si nyingi uchaguzi wa serikali za mitaa utafanyika. Na leo mchakato wa kujiandikisha umeanza.
Sasa kama miaka miwili iliyopita niliibiwa vitu vyangu. Pamoja na vilivyoibiwa ni kitambulisho changu cha KURA. Naomba msaada au ushauri nitafanyaje niweze kupiga kura? Kuikosa haki yangu ya kuchagua viongozi ni jambo litakoloniuma sana. Nina imani wapo wahanga wengi wenye tatizo kama langu kwa hiyo ushauri wako utasaidia wengi.
AHSANTENI.
Sasa kama miaka miwili iliyopita niliibiwa vitu vyangu. Pamoja na vilivyoibiwa ni kitambulisho changu cha KURA. Naomba msaada au ushauri nitafanyaje niweze kupiga kura? Kuikosa haki yangu ya kuchagua viongozi ni jambo litakoloniuma sana. Nina imani wapo wahanga wengi wenye tatizo kama langu kwa hiyo ushauri wako utasaidia wengi.
AHSANTENI.