Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Nimekuja Chalinze kushiriki
uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo
la Chalinze . Nimekata tamaa na kupiga kura
kesho yaani bora nikashinde
ibadani kwani zinamwaga hela
kama zinatengenezwa stationary
vile!
Namshauri tu kama akichaguliwa
atakapokuwa ameshika msaafu
bungeni aanze kuungama kwanza
kisha ndo' aendelee. Na asiape
kwa kusema "Ee Mwenyezi Mungu
unisaidie bali aseme "Eee
Mwenyezi Mungu unirehemu..."
'Am so disapointed kwa kweli lakini TUTAPAMBANA
CC: Somoche
uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo
la Chalinze . Nimekata tamaa na kupiga kura
kesho yaani bora nikashinde
ibadani kwani zinamwaga hela
kama zinatengenezwa stationary
vile!
Namshauri tu kama akichaguliwa
atakapokuwa ameshika msaafu
bungeni aanze kuungama kwanza
kisha ndo' aendelee. Na asiape
kwa kusema "Ee Mwenyezi Mungu
unisaidie bali aseme "Eee
Mwenyezi Mungu unirehemu..."
'Am so disapointed kwa kweli lakini TUTAPAMBANA
CC: Somoche
Last edited by a moderator: