UCHAGUZI: CCM Bunda yaelemewa na CHADEMA

UCHAGUZI: CCM Bunda yaelemewa na CHADEMA

Pwaaaa

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
248
Reaction score
67
Nimedokezwa hali si shwari kwa CCM katika kampeni za uchaguzi mdogo zinazoendelea Kata ya Nyasura iliyopo jimbo la Waziri Steven Wassira wa CCM mjini Bunda mkoa Mara, kwamba CHADEMA haishikiki huko. Nimetonywa majuzijuzi mkutano wa chama hicho tawala ulisambaratika saa 10 jioni kwa kile kinachodaiwa kuhudhuriwa na raia kiduchu. Aliyepo huko Bunda atujuze ukweli ulivyo tafadhali.
 
Diamond yuko KENYA na Wamemkorofisha NAPE na KINANA na Mawaziri Wasiofaa kupandishwa Vyeo...
 
Acha ife kuwa ccm sasa hivi
Nikama kuwa mchawi yanini shida yote
CDM chama dume !!!!
 
Ngoja aende Wassira mwenyewe huko ndo mtasikia mambo yake. Kama aliwakataa watoto wake ni huyo anayeingia kwa chama kinachokufa kabla ya pasaka? Atawarudisha watu wote uanjani kabla ya saa kumi na mbili hivi. Msiogope ccm mnaye Tyson wenu kule. Alikua anangojea Mawaziri mizigo watangazwe kalamu isikosee jina lake.
 
Mh. Mboye alikataa shangingi la serikali kumbe alikua anataka chopa.
 
CCM ni kiumbe gani....?
:
:
:
:
Operesheni Pamoja-Daima with no apology..
 
Magamba watajiju.Tuko bize na ukombozi wa pili.

Pamoja daima,hakuna msamaha
 
Mh. Mboye alikataa shangingi la serikali kumbe alikua anataka chopa.

Kababu embu tuelezee huyo Mh. Mboye ni wa JIMBO gani ? aliyelikataa SHANGINGI ? Kwasababu sijawahi kusikia Mh. kwa jina la Mboye... Kababu jamani Kababuuu

c.c kababu
 
Ngoja aende Wassira mwenyewe huko ndo mtasikia mambo yake. Kama aliwakataa watoto wake ni huyo anayeingia kwa chama kinachokufa kabla ya pasaka? Atawarudisha watu wote uanjani kabla ya saa kumi na mbili hivi. Msiogope ccm mnaye Tyson wenu kule. Alikua anangojea Mawaziri mizigo watangazwe kalamu isikosee jina lake.

Tyson au ni mnyama wa serengeti na manyara bila kusahau mikumi n.k
 
Back
Top Bottom