Uchaguzi arusha ulija mizengwe na rushwa mchezo mchafu.

LENGIO

JF-Expert Member
Apr 9, 2012
1,096
508
Jamani hakuna siku sintasahau kama siku uchaguzi wa ccm wilaya arusha,tulikuwja na mgombea wa mkutano mkuu Taifa,tumwita namba saba,kaka wa watu tulimpa kura za kishindo,lakini matokeo yake,kura zake alipewa mkuu wa mkoa,ili asiandikwe kwenye magazeti,LOBORA UNANGANGANIA NINI NDANI YA CCM?umekuwa mkimya,masikini nilikuangalia,ukiwa umenuna,LOBORA alikuwa na hoja ya ajira,kuhusu viwanda vilivyotolewa kwa wahuni wa kuhujumu uchumi na ajira,sasa huyu mkuu wa mkoa atakwenda kuwakilisha nini?kama si tunazuia mawazo yenye tija kwa wana wa arusha?kiltex imekufa,GENARALTIRE IMEKUFA,NAMWAMINI SANA LOBORA,Angetusemea huko juu,lobora,uwe makini ukweli wako ndio tabu yako,tulikupenda,mkuu wa mkoa apewa heshima ili asiandikwe.source mimi mwenyewe
 
ndo shida ya kuwa kwenye taasisi zenye kupenda magumashi kama sisiemu!!
 
Jamani hakuna siku sintasahau kama siku uchaguzi wa ccm wilaya arusha,tulikuwja na mgombea wa mkutano mkuu Taifa,tumwita namba saba,kaka wa watu tulimpa kura za kishindo,lakini matokeo yake,kura zake alipewa mkuu wa mkoa,ili asiandikwe kwenye magazeti,LOBORA UNANGANGANIA NINI NDANI YA CCM?umekuwa mkimya,masikini nilikuangalia,ukiwa umenuna,LOBORA alikuwa na hoja ya ajira,kuhusu viwanda vilivyotolewa kwa wahuni wa kuhujumu uchumi na ajira,sasa huyu mkuu wa mkoa atakwenda kuwakilisha nini?kama si tunazuia mawazo yenye tija kwa wana wa arusha?kiltex imekufa,GENARALTIRE IMEKUFA,NAMWAMINI SANA LOBORA,Angetusemea huko juu,lobora,uwe makini ukweli wako ndio tabu yako,tulikupenda,mkuu wa mkoa apewa heshima ili asiandikwe.source mimi mwenyewe

andika kwa mhariri, uhuru, mzalendo au habari leo anagalau uanweza kusikilizwa
 
Back
Top Bottom