Jamani mambo ya uc-browser kwa wale mnaotumia handsets,kitu bomba ktk kifaa chako.Ni application ambayo inakasi ya 3G(third generation)hata kama simu yako ni GPRS(general packet radio service).Kasi yake ni mara 5 ya operamini,picha za HQ na mengineyo mazuri.UC-BROWSER inakupatia 1GB na 70mb for storing files kwa njia ya kuapload,yote hayo utayapata katika sehemu ya UC inayoitwa U-DISK.kama unataka kudownload mafaili makubwa sana utaweza kuyahifadhi kwanza ktk u-disk halafu kuyahamishia ktk simu yako kwa njia ya offlinedownload.We mwenyewe utashangaa kukuta mafaili yameshaingia bila hata kufahamu ni muda gani.UC ina versions nyingi so its your choice.UC inasapoti 97% ya simu zote.Jamani any QUIZ?