Mkulima wa Kuku
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,270
- 533
Ukizoea vya kunyonga, vya kuchinja huviwezi. Makuti ni yaleyale... mikono ni ileile...ila kinachokosekana ni ubunifu kwenye kazi tunazofanya. Unadhani ukifanya kazi yako kwa viwango vinavyotakiwa haitalipa? Wabongo tumezoea uchakachuaji kwenye karibu kila kitu. Natamani weng wetu tungepata fursa ya kutembelea nchi za wenzetu tujionee ubunifu wanaoufanya kwenye shughuli zao naamini mambo mengi yangebadilika.