Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Acha uTomaso kijana/binti uliza kwanza usaidiwe...Acha porojo weye hapo sio Mikochen wala Bongo.
THis is serious abuse of the noble emblemnaona first aid symbol
kwa hiyo waendaji hapo lazma wawe wagonjwa??
we mpiga picha wa shigongo hudanganyi mtu hapa.Acha uTomaso kijana/binti uliza kwanza usaidiwe...
<br />Mbona ma'nurse' hawa?
Bado sijaelewa, wacha wadau wachangie kisha nitarudi. Unajua leo ni w/end hivyo wengi hawachangii wanasubiri mitandao ya dezo ya ofisini kesho.
mvivu mwenyewe!!!Umenena kaka hasa ukizingatia waBongo tulivyo wavivu
<br />mvivu mwenyewe!!!