Malisa nae kaona wenzie wanafaidi sasa anataka nae aende huko! Ila mwambieni akipata marufuku kuhoji ruzuku wala michango ya wabunge
CCM saa Nne tu inatangazwa Mshindi
Nyie mnafikiri siasa za Kilimanjaro ni kama za kwingineko? Watu hawadanganyiki kirahisi na ccm kama kwingine na watu kule wanabadilisha vyama watakavyo.
Selasini kawa ishirini,kuna majina yana laana
30 hauziki tena rombo.. chama kitakachomsimamisha kiandike maumivu! Hana uwezo hata wa kugawa kura!
Malissa ni mu old moshi/Uru...
Sidhani kama warombo watamuelewa
Watamuelwa tuu,alishajijenga siku mingi
Kaka Chadema wasifanye hilo kosa...
Warombo nawajua vizuri
Inqonekana una uzoefu sana na kuwashwa kwako kunavyokuwaWacha kuwashwa washwa wewe na habari za cdm
Umeongea point kubwa sana.Uzuri K’Njaro watu wana uelewa na wanaweza kubadili chama chochote wako kama watu wa Uingereza au Marekani ndio maana wapo mstari wa mbele kwenye siasa za upinzani wakati watanzania wengine bado wanafikiri ccm ni jina jingine la Tanzania.
Inqonekana una uzoefu sana na kuwashwa kwako kunavyokuwa
Tanazania yote yetu hata mngoni akiamua kugombea umasaini,chambiri mkurya aligombea babati mjini akashinda akamuangusha mzawa kabisa paulina gwekul wa chadema,mbunge wa babati vijini ni mhindi anaitwa jitu vrajival soniItakuwa ngumu sana.. kwa kweli.
Option hapo ni either Moshi Mjini au Moshi Vijijini maana ndo yanamuingiliano na old moshi na Uru. Ila nje ya hapo hawezi, tena kwa warombo mhhh
Kule selasini itabidi apambane na mrombo mwenzake, wapo wengi tu wenye sifa.
Chadema walichukua mitaa mingapi uchaguzi wa serikali za mitaaUzuri K’Njaro watu wana uelewa na wanaweza kubadili chama chochote wako kama watu wa Uingereza au Marekani ndio maana wapo mstari wa mbele kwenye siasa za upinzani wakati watanzania wengine bado wanafikiri ccm ni jina jingine la Tanzania.
AhahahaSaa nne mbona kuchelewa, siku moja moja kabla
Hivi kuna mtu anaona kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa ulikuwa uchaguzi wa kweli au kichekesho?!Chadema walichukua mitaa mingapi uchaguzi wa serikali za mitaa
Hebu tuachane na Selasini, kwenye siasa kwa sasa Selasini ni maji ya jioniAmeonyesha udhaifu sana na ameaibisha Warombo wote.
Mwanzo waombo walituhumiwa kutokuwa na nguvu za uume mpaka wake zao wakawa wanakwenda holili kuchapwa na wakenya-wataita, wakaacha pombe wakala vyakula vyenye virutubisho kama wamarangu nguvu zkarudi , sasa huyu 30 kaja tena kuwaaibisha , eti anahama chama kwa kuvuliwa kwenye grupu la WASAPU!
Sawa mkuu,basi hata kama unaacha siasa, acha vizuri, usalimiane na watuHebu tuachane na Selasini, kwenye siasa kwa sasa Selasini ni maji ya jioni