Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,228
- 618
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jerome Bwanausi, atangazwa mshindi katika Jimbo la Lulindi mkoani Mtwara kwa kupata kura 17,715 baada ya kufanyika kwa marudio ya uchaguzi uliofanyika jana.
Ushindi wa Jerome umetangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Ushindi wa Jerome umetangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).