Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga

Weka na kapichq jamani. Lkn kama kweli we boss si kamata vijana wako wa kazini mwambie interview yako iliyobaki ni hii tumia sentensi fupi NIOE au asshole language fupi Marry me. Weka mrejesho kwa ushauri huu halafu lipia
 
Mi sidhani kama wanaume wanakuogopa ila kwa jinsi unavyojiweka ndo tatizo, either :,

-Unavaa kibibi bibi, na wanaume wengi hawapendi kibibi, najua unakuwa unaona Unavaa nguo za heshima bali pia Unavaa kibibi

-jaribu kuishi maisha ya kawaida na si ya kisomi ili uwe sawa nao

-always tabasamu usiwe kila kitu serious hapana usikute ulishapendwaga mda mrefuu sema tuu umepishana na gari la pesa

-Punguza kuchagua watu Wenye hazi zako tuu ndo uwe nao kwa kuogopa wale makapuku eti wanakuja si kwa mapenzi bali kutaka mali zako

_ unapoelekea utakuja ku adopt Mtoto ili tu uwe na Mtoto au utamlipa mwanaume ili akuzalie Mtoto


*U still have a time to back up ur brain and change ur perception about gentleman
Nadhani ushauri huu uzingatie jamaa amekua mkweli amesema ya moyoni kabisa
 
Back
Top Bottom