Ubora wa elimu yetu

captain 21

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2021
Posts
604
Reaction score
1,198
Huwa najaribu kutafakari, kuongezeka kwa wahitimu hasa wa elimu ya juu ambao hawana ajira (kuajiriwa/kujiari).

Kunatoa picha gani kwenye ubora wa elimu yetu kwenye kupunguza kiwango cha umasikini hasa kwa wahitimu wanaotoka kwenye familia duni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…