Je unaijua hii
Ubora wa baba hauonekani katika mali zake nyingi ulizonazo, magari majumba, ndoto nyingi, mawazo na malengo mengi big noooo
Baba aliyebora ataonekana tu inapotazamwa familia yake (mke +watoto) wanavyoishi ita reflect ubora wa baba huyo.
Sent using
Jamii Forums mobile app