Mama yangu mzazi alishafariki miaka 18 iliyopita lakini kuna watu wanamzungumzia vibaya mpaka leo,watoto wake tunavyoyasikia tunajisikia uchungu sana, kuna dadaangu siku moja alipika chakula kibichi chaajabu aliambiwa hicho ni kilema kutoka kwa mamaako dadaangu alilia sana, siku nyingine dadaangu huyohuyo sikumbuki sana kosa alilofanya lkn aliambiwa utakuja kufa kama mama yako daah aisee hii dunia ina mengi sana.