Umetumia lugha ya Google.Tunapo kuja neneo nahodha kila mtu kutambua muongoza chombo mfano ndege,meli na n.k
nahodha hamepewa mamlaka makubwa sana kwenye chombo maana yeye ndiye hana kiongoza ila akiwa n kabinenti yake kimawazo kimaelekezo hata kimsaada zaidi na yeye ni binadamau
Nahodha ni mtu ambaye anaongoza meli au timu fulani. Kwa kawaida nahodha hutumika katika kitengo cha kijeshi, kwa kamanda wa meli, ndege au chombo kingine, au kamanda wa bandari, idara ya moto au idara ya polisi, idara ya uchaguzi, n.k.
View attachment 1709127
Ila visa vya ajari nyingi ambavyo vengine vipo humu JF vimesimuliwa asilimia kubwa nahodha ndio ufanya yote asilimia 98 kwa kutokubali au kukubali makosa kwa kuwa hakuna sehemu itakayo mkatakaza kwenye chombo chake.
Kuna kisa kimoja “ wakati nahodha hana tafuta uwanja wa ndege kutua majira ya usiku huku hakiwasiliana na idara ya uwanja msaidizi wake alijaribu kumwambia kama vipo havipo sawa na maelekezo unayopewa kushuka basi nahodha kumjibu “usinifundishe kazi ungekaa wewe”
Yule msaidizi haka kaa kimya mara ya mwisho kuja kutaaamaki kumbe sio uwanja wa ndege wapo kwenye makazi ya watu kulingana na vipimo kutoka kwa nahodha.ilisikika neno moja msaidizi “nahodha nilikuwa tumekosea”.Na ajali ndio ishafika.
Mwenye hii makala kama anayo ilitokea USA
Hila huna kumbuka kitabu cha (muwa wazamisha meli)
Hapa tuna pata picha ule utamu wa muwa kwa nahodha na wafanyakazi wasaidizi mpaka meli inapata tatizo.na alikuwa hataki kuelezwa kwa ukali wake
Tujadili tukitumia tafsida
Tunapo kuja neneo nahodha kila mtu kutambua muongoza chombo mfano ndege,meli na n.k
nahodha hamepewa mamlaka makubwa sana kwenye chombo maana yeye ndiye hana kiongoza ila akiwa n kabinenti yake kimawazo kimaelekezo hata kimsaada zaidi na yeye ni binadamau
Nahodha ni mtu ambaye anaongoza meli au timu fulani. Kwa kawaida nahodha hutumika katika kitengo cha kijeshi, kwa kamanda wa meli, ndege au chombo kingine, au kamanda wa bandari, idara ya moto au idara ya polisi, idara ya uchaguzi, n.k.
View attachment 1709127
Ila visa vya ajari nyingi ambavyo vengine vipo humu JF vimesimuliwa asilimia kubwa nahodha ndio ufanya yote asilimia 98 kwa kutokubali au kukubali makosa kwa kuwa hakuna sehemu itakayo mkatakaza kwenye chombo chake.
Kuna kisa kimoja “ wakati nahodha hana tafuta uwanja wa ndege kutua majira ya usiku huku hakiwasiliana na idara ya uwanja msaidizi wake alijaribu kumwambia kama vipo havipo sawa na maelekezo unayopewa kushuka basi nahodha kumjibu “usinifundishe kazi ungekaa wewe”
Yule msaidizi haka kaa kimya mara ya mwisho kuja kutaaamaki kumbe sio uwanja wa ndege wapo kwenye makazi ya watu kulingana na vipimo kutoka kwa nahodha.ilisikika neno moja msaidizi “nahodha nilikuwa tumekosea”.Na ajali ndio ishafika.
Mwenye hii makala kama anayo ilitokea USA
Hila huna kumbuka kitabu cha (muwa wazamisha meli)
Hapa tuna pata picha ule utamu wa muwa kwa nahodha na wafanyakazi wasaidizi mpaka meli inapata tatizo.na alikuwa hataki kuelezwa kwa ukali wake
Tujadili tukitumia tafsida
Anakanusha visivyokanushika😬😬 sipendi hii issue kinoma yaniMwamba uandishi wako unamiss-miss kishenzi. Hebu safisha plug aisee uondoe hizo h
Likely Mhaya au Mkerewe. Wana shida sana na hizo h. Zisipotakiwa wanaziweka, zinapotakiwa wanaziondoa...hata wasome namna gani!Mwamba uandishi wako unamiss-miss kishenzi. Hebu safisha plug aisee uondoe hizo h
Mimi kinachonichekesha ni hilo pazia lilivyofungwaOna kilicho mkuta rubani kwa sababu ya ubishiView attachment 1709133
Walienda shule kusomea ujinga, kama Bibi yetu alivyokuwa anaandika,Anakanusha visivyokanushikasipendi hii issue kinoma yani
Unakuta mtu anasema hanatafuta dah