Ubishi wa nahodha kwenye ndege na meli upelekea ajali

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,709
Tunapo kuja neno nahodha kila mtu kutambua muongoza chombo mfano ndege,meli na n.k
nahodha hamepewa mamlaka makubwa sana kwenye chombo maana yeye ndiye hana kiongoza ila akiwa n kabinenti yake kimawazo kimaelekezo hata kimsaada zaidi na yeye ni binadamau

Nahodha ni mtu ambaye anaongoza meli au timu fulani. Kwa kawaida nahodha hutumika katika kitengo cha kijeshi, kwa kamanda wa meli, ndege au chombo kingine, au kamanda wa bandari, idara ya moto au idara ya polisi, idara ya uchaguzi, n.k.

IMG_3983.jpg


Ila visa vya ajari nyingi ambavyo vengine vipo humu JF vimesimuliwa asilimia kubwa nahodha ndio ufanya yote asilimia 98 kwa kutokubali au kukubali makosa kwa kuwa hakuna sehemu itakayo mkatakaza kwenye chombo chake.

Kuna kisa kimoja “ wakati nahodha hana tafuta uwanja wa ndege kutua majira ya usiku huku hakiwasiliana na idara ya uwanja msaidizi wake alijaribu kumwambia kama vipo havipo sawa na maelekezo unayopewa kushuka basi nahodha kumjibu “usinifundishe kazi ungekaa wewe”
Yule msaidizi haka kaa kimya mara ya mwisho kuja kutaaamaki kumbe sio uwanja wa ndege wapo kwenye makazi ya watu kulingana na vipimo kutoka kwa nahodha.ilisikika neno moja msaidizi “nahodha nilikuwa tumekosea”.Na ajali ndio ishafika.

Mwenye hii makala kama anayo ilitokea USA

Hila huna kumbuka kitabu cha (muwa wazamisha meli)

Hapa tuna pata picha ule utamu wa muwa kwa nahodha na wafanyakazi wasaidizi mpaka meli inapata tatizo.na alikuwa hataki kuelezwa kwa ukali wake

Tujadili tukitumia tafsida
 
Tunapo kuja neneo nahodha kila mtu kutambua muongoza chombo mfano ndege,meli na n.k
nahodha hamepewa mamlaka makubwa sana kwenye chombo maana yeye ndiye hana kiongoza ila akiwa n kabinenti yake kimawazo kimaelekezo hata kimsaada zaidi na yeye ni binadamau

Nahodha ni mtu ambaye anaongoza meli au timu fulani. Kwa kawaida nahodha hutumika katika kitengo cha kijeshi, kwa kamanda wa meli, ndege au chombo kingine, au kamanda wa bandari, idara ya moto au idara ya polisi, idara ya uchaguzi, n.k.

View attachment 1709127

Ila visa vya ajari nyingi ambavyo vengine vipo humu JF vimesimuliwa asilimia kubwa nahodha ndio ufanya yote asilimia 98 kwa kutokubali au kukubali makosa kwa kuwa hakuna sehemu itakayo mkatakaza kwenye chombo chake.

Kuna kisa kimoja “ wakati nahodha hana tafuta uwanja wa ndege kutua majira ya usiku huku hakiwasiliana na idara ya uwanja msaidizi wake alijaribu kumwambia kama vipo havipo sawa na maelekezo unayopewa kushuka basi nahodha kumjibu “usinifundishe kazi ungekaa wewe”
Yule msaidizi haka kaa kimya mara ya mwisho kuja kutaaamaki kumbe sio uwanja wa ndege wapo kwenye makazi ya watu kulingana na vipimo kutoka kwa nahodha.ilisikika neno moja msaidizi “nahodha nilikuwa tumekosea”.Na ajali ndio ishafika.

Mwenye hii makala kama anayo ilitokea USA

Hila huna kumbuka kitabu cha (muwa wazamisha meli)

Hapa tuna pata picha ule utamu wa muwa kwa nahodha na wafanyakazi wasaidizi mpaka meli inapata tatizo.na alikuwa hataki kuelezwa kwa ukali wake

Tujadili tukitumia tafsida
Umetumia lugha ya Google.
 
Tunapo kuja neneo nahodha kila mtu kutambua muongoza chombo mfano ndege,meli na n.k
nahodha hamepewa mamlaka makubwa sana kwenye chombo maana yeye ndiye hana kiongoza ila akiwa n kabinenti yake kimawazo kimaelekezo hata kimsaada zaidi na yeye ni binadamau

Nahodha ni mtu ambaye anaongoza meli au timu fulani. Kwa kawaida nahodha hutumika katika kitengo cha kijeshi, kwa kamanda wa meli, ndege au chombo kingine, au kamanda wa bandari, idara ya moto au idara ya polisi, idara ya uchaguzi, n.k.

View attachment 1709127

Ila visa vya ajari nyingi ambavyo vengine vipo humu JF vimesimuliwa asilimia kubwa nahodha ndio ufanya yote asilimia 98 kwa kutokubali au kukubali makosa kwa kuwa hakuna sehemu itakayo mkatakaza kwenye chombo chake.

Kuna kisa kimoja “ wakati nahodha hana tafuta uwanja wa ndege kutua majira ya usiku huku hakiwasiliana na idara ya uwanja msaidizi wake alijaribu kumwambia kama vipo havipo sawa na maelekezo unayopewa kushuka basi nahodha kumjibu “usinifundishe kazi ungekaa wewe”
Yule msaidizi haka kaa kimya mara ya mwisho kuja kutaaamaki kumbe sio uwanja wa ndege wapo kwenye makazi ya watu kulingana na vipimo kutoka kwa nahodha.ilisikika neno moja msaidizi “nahodha nilikuwa tumekosea”.Na ajali ndio ishafika.

Mwenye hii makala kama anayo ilitokea USA

Hila huna kumbuka kitabu cha (muwa wazamisha meli)

Hapa tuna pata picha ule utamu wa muwa kwa nahodha na wafanyakazi wasaidizi mpaka meli inapata tatizo.na alikuwa hataki kuelezwa kwa ukali wake

Tujadili tukitumia tafsida

Mkuu mimi nimekuelewa vizuri sana unachozungumzia
 
Inategemea ni chombo gani lakini kuna baadhi ya vyombo abiria na wafanya kazi wanatakiwa wafanye maamuzi yao wenyewe juu ya maisha yao wenyewe.

Kuliko kumsubiria nahodha atoe maamuzi juu ya maisha yako wewe wakati hali halisi unaiona.

Hii ni tofauti kwa wafanyakazi wa chombo sababu wanaogopa kupoteza ugali wao.
Hivyo inakuwa hawana budi kufuata kile nahodha anaamua.
Japo madhara ni kwa wote.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom