Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Wakati Mwl. Nyerere anapinga dhana ya ubinafsishaji alitamka kwamba "watanzania mtajikuta mmebinafsisha hadi magereza".
Kuna habari hapa inayosema kwamba Marekani imeshaanza kubinafsisha magereza muda mrefu sasa. Jimbo la Florida nchini humo ndilo lina gereza kubwa linalomilikiwa na kampuni binafsi (Private Prison).
Nadhani hakuna aisyefahamu kwamba binafsishaji zote zimeanzia hukohuko majuu.
Zinapoteremka huku kwetu kunakuwa na vikelele viwili vitatu lakini hatimaye ni kuzikumbatia.
Source: Soma mwenyewe hapa chini
http://news.yahoo.com/s/nm/20110512/us_nm/us_usa_prisons_florida
Kuna habari hapa inayosema kwamba Marekani imeshaanza kubinafsisha magereza muda mrefu sasa. Jimbo la Florida nchini humo ndilo lina gereza kubwa linalomilikiwa na kampuni binafsi (Private Prison).
Nadhani hakuna aisyefahamu kwamba binafsishaji zote zimeanzia hukohuko majuu.
Zinapoteremka huku kwetu kunakuwa na vikelele viwili vitatu lakini hatimaye ni kuzikumbatia.
Source: Soma mwenyewe hapa chini
http://news.yahoo.com/s/nm/20110512/us_nm/us_usa_prisons_florida