Mkuu, wewe ni mtaalam katika fani ya 'Political Science'?
Hii mada umelalamika sana, lakini haieleweki unamlenga nani hasa, huoni kuwa hilo ni tatizo katika uandishi wako?
Unaandika kijumla jumla tu, unataka msomaji wako aelewe kitu gani?
Kama unaona nakuonea wewe kwa ulalamishi usiokuwa na lengo, basi elewa kwamba siyo wewe pekee mwenye tabia ya namna hiyo. Hii ni tabia mbovu sana ya kiTanzania, na ndiyo maana, hata hao unaowalalamikia hawastuki, kwa sababu wanajua huna uthubutu wa kutaja yeyote, matokeo yake wanapuuzia malalamishi yenu.
Kuna ugumu gani kuwa 'direct', kuwa kiongozi fulani kafanya hili na lile, na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa juu yake