Ubikira Wangu

asa umeliwa na mwanaume mmoja huyo huyo akakuowa kweli we unaona hiyo ni sawa kingine hujiulizi kwann hukuwa na bikra? mi nafikiri ulikuwa na mahusiano na watu waishio huko baharini...
Tobaaaaa
 
We bana wewe.....
 
Nadhani hii ni kwa wanaume zaidi ndo tutakaoelewa,kwamba siyo kila bikra lazima ziwepo ishara za damu”

Binafsi hata mimi imenisaidia kuujua ukweli ni jambo liliwahi kunikuta.
ahsante mkuu mi bila kuwa mtu wa kujisomea vitu mtandaoni basi hii kitu ingeniathiri kisaikolojia maana ilinichukua mda kuamini kwamba nilipata hali ile ksa hiyo baada ya kuwa nimepitia makala mbalimbali basi nikajipa matumaini kwamba huenda ilikuwa vile
 
Huyu mwenzetu iliingia bila kugoma.
Kuna bikra kweli damu haitoki.
ndo maana mnatakiwa kujifunza vitu vipya,maana hata mi siku ile nilitamani hivyo kwanza nshafanya maandalizi na pedi nilinunua kabisa
 
Hiii kitu imewahi leta utata kidogo, Kuna dada alinambia ni bikira hajawahi kabisa kufanya, Cha ajabu ilipita yote bila pingamizi, Hadi mwenyewe akawa anashangaaa!
Japo baadaye alikiri kuwa alikuwa anajichezea na vidole eti!
Yote Kwa yote ukwelii wa bikira zenu mnaujua wenyewe
 
Ha haaa sikuwa nawaza hivyo but hilo linawezekana pia. Mimi niliwaza labda aliwahi kuingiliwa utotoni akatolewa bikra na sehemu zikatanuka. Maana kasema iliteleza bila kukwama
kumbuka mtu umeshajiandaa nadhani unaweza kuimagine hali iliyokuwepo mi nachokumbuka mzigo uliingia akapump mara moja akashindwa,nadhani ni yale mategemeo ya bikra,nikizungumzia kwa uzoefu wa sasa maumbile yangu yako sawa yaani yanatight,maumbile kutight hayahusiani na maumivu
 
Bikira huweza kutolewa na baiskeli au kazi ngumu...


Hebu sema kiti cha baiskeli kinafaidi sana...
ninachojiuliza inamaana ikikutoa hizo damu hazionekani?maana mara ya kwanza kuona damu ni period ambazo sijatia shaka maana ni regular
 
mi kwakweli sexual drives sikuwa nazo kusema eti madole hapana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…