Uber, Suluhisho ama chanzo cha foleni?

idovow

New Member
Apr 13, 2014
3
0
Wakuu nimefuatilia suala la uber na app nyinginezo zinazotoa huduma zinazofanana na hii. Ukitizama dhana ya uundaji wa mtandao wa Uber kuachilia mbali kama fursa ya biashara ililenga kupunguza idadi ya magari barabarani kwa kuwaweka watu wengi kwenye magar machache. Hii ndio maana hasa ya "ride sharing".

Katika mtizamo huu, initial thoughts hazikua kutoa ajira maana kwa mantiki hii ingekinzana na maono ya kupunguza magar barabarani. Kwa maana hii, price setting ya uber and other similar apps kwa mtizamo wangu haitakiwa kuwa na mfanano wa gar za kibiashara. Hivyo kama matumizi yangebakia katika misingi ya mwanzo ya uanzishaji wa network hii nadhan hata biashara ya tax ingekuwepo sambamba na uber na app mfanano wake. Mfano mzur ni "Airbnb" accommodation alongside lodge na hotel.

Kwa hivyo bei ya huduma ya Uber inapaswa kuwa chini tofaut na gar za biashara kwa maana yenyewe ni utumiaji wa pamoja wa gar 'ride sharing'.
 
Mkuu nazenyewe zinatumia mafuta. In general view uber is cheaper to other bussines taxes.

Dhana ya foleni kupunguzwa na uber could not make sense, kwa nini?

Ili mtu aache usafiri wake nyumbani na achukue uber basi at least to cover the cost to be encoured inabid wawe 3/4 to the same destination otherwise ni bora kuweka mafuta kwenye usafiri wako.
 
Kwa nchi zinazoendelea kama Tanzania haswa miji kama Dar, Arusha, Mwanza...

Muarobaini wa foleni ni kuwa na city trains tu ambazo mfumo wake hautakiwi kukutana na magari hata kidogo...
 
Yes, they're cheaper and that's the aim of it. Niliandika hivyo sababu palikua na watu wanalalamikia prices za uber kua chini, kwa dhan ya kuanzishwa kwake zinapaswa kuendelea kua chini hivyohivyo otherwise zitakua kama tax..
 
Back
Top Bottom