Ubapa company

bennyb

Member
Joined
May 8, 2014
Posts
31
Reaction score
4
jamani naombeni wanajamii forum tuliofanya interview pale ubapa kwa nafasi ya surveyors tarehe 1/9/2015 naomba atakayepata taarifa tujuzane kwani walisema wataanza kupiga simu kuanzia leo
 
Asante kwa taarifa ni kwamba kesho tarehe 3/9/2015 naona nimeitwa kwenye interview ya kuandika baada ya jana tarehe 1/9/2015 kufanya ya mahojiano
 
Asante kwa taarifa ni kwamba kesho tarehe 3/9/2015 naona nimeitwa kwenye interview ya kuandika baada ya jana tarehe 1/9/2015 kufanya ya mahojiano

Mungu akutangulie,.
 
Asante jaman nashukuru kwani tumeanza training kwa tuliochaguliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…