USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
Nimepitia mtandano wa Twitter wa hawa mabeberu na makabaira yaliyokomaa duniani eti kuna shida tena ya korona Tanzania kiukweli wanatuonea wivu tunavyozidi kudunda huku wakisikia maichi yanayo washobokoe kama kenya hadi kuna kubakana huko kwenye karantini zao sisi tupo fiti.
Ifikie muda wakae kimya watuache tuishi maisha yetu wasijifanye wanatufahamu saaana huu sio utawala wa kina membe wa kuwashupalia na kuwatukuza ,tunajimudu sana kwa sasa
USSR
Ifikie muda wakae kimya watuache tuishi maisha yetu wasijifanye wanatufahamu saaana huu sio utawala wa kina membe wa kuwashupalia na kuwatukuza ,tunajimudu sana kwa sasa
USSR