Ubaguzi unaendelea kuitafuna CHADEMA

Comrade Mingoi

Huyu ni mmoja katika wanafiki wanaoongoza ndani ya CHADEMA.

Kwa unafiki wake huu, Karma law itaendelea kumtandika kila siku katika mbio zake za kisiasa ndani ya CHADEMA.
 

kwenye majukwaa umesikika mara nyingi ukiwabeza watu wa kaskazini,hakuna mbaguzi kama wewe na hata ile clip ya wamasai wa ole medeye kule Arusha wakipanga mauaji ya Arusha uliifurahia sana
Punguza kuropoka maaana unadhaniaga kuropoka vile jukwaani ndio sifa then jaribu kushirikisha ubongo wako na mwili wako
 
Ndugu,
Nape anaingiaje kwenye hoja zangu.

Vijana wa BAVICHA mkikosa hoja mbadala mnaanza kutafuta majina ya waleta hoja ili mjadili majina badala ya hoja.

Kazi ya kutetea chama mliyopewa na viongozi wenu inawazidi uwezo katika fikra pevu.

Hakika cdm inakufanya uweweseke sana. Hebu jiulize tangu umeanza kuimba wimbo wako wa ubaguzi uchaga ukanda saccos chama kimesambaratika au kimeimarika?
 
Wapo wapi mashujaa wa kuliokoa taifa? Change et-al?
 
Mwana Diwani Tunaomba Cv Yako Apa Jamvini Then Ndo Tujadili Mana Naona Kiwango Chako Cha Kujenga Hoja Kiko Chini Kupindukia
 
R.i.p ccm.

Dua la kuku halimpati mwewe, Dua la Mvuta Bangi na muuaji kama wewe LEMA haliwapati CCM, Damu ya chacha wangwe itakutafuna sana, LEMA nenda kavute Bangi waache Binadamu wajadili mada.
 
Chadema sahau kushika dola ikulu ipo mbali na Chadema yaani ni km 1,000,000, kufika ikulu na wewe LEMA mvuta Bangi mkubwa ni kikwazo number one cha kuwapeleka CDM ikulu kwani wanaogopa kuwa Ukipewa nafasi Utaendesha Mauaji Kuliko hata idd Amini, Wewe Lema ni Mtu Hatari Damu ya chacha wangwe haibanduki kwako milele, kaa ukijua hata ije miujiza gani Chadema hii ya mbowe na nyie wachaga kibao haiwezi kuongoza Taifa la Tanzania miaka ya karibuni.
 
Ni Kweli kabsa, kabla zingine zipo kwa kuzuga tu. R.I.P chacha wangwe.

Mkuu funza kila nikisikia hilo jina ninapatwa na huzuni.Hawa jamaa ni makatili sana angalia sasa familia yake inavyoteseka kisa Chacha aliamini haki,usawa na utu ndani ya chama cha mzee Mtei.

R.I.P Chacha Wangwe
 
Last edited by a moderator:
Linchi hili limewashinda kuongoza,kwa sasa ni kilio kwa kila mwananchi toka pande zote za nchi cha ajabu kila siku mnakuja na drama za Chadema utafikiri CCM imeshakuwa chama cha upinzani!Kama ZZK ni wa maana kwenu si mumsajili na hapo hapo mumpe nafasi ya kugombea urais kupitia CCM hapo october?ooh mara ataondoka na watu,mara Chadema itakufa;anayeondoka na watu anafanya kwa vitendo na si porojo za mitandaoni tu.Nimeamini CHADEMA ni tishio nchi hii!
 
Maboss wako CHADEMA kiasi kwamba, wanapata mpaka ulinzi wa kujifananisha kama Rais wa Tanzania!.

Ndani ya CCM hakuna boss bali kuna ndugu.
Acha kupotosha vijana neno "ndugu" aliondoka nalo Nyerere hebu jaribu siku moja kwenye kikao umwite ndugu Kikwete uone, sasa ni mwendo wa mheshimiwa hata muuaji Mangula anayetakiwa kunyea debe ni mheshimiwa...

Mheshimiwa Lowassa uso kwa uso na mhe. Nape.
 
Tatizo sio kuwasiliana bali uwasiliana kwa sababu zipi?Kumuwekea mtu sumu?Kutoa siri za vikao?

Punguza upotoshaji na unafiki

sasa na wewe hiyo dhambi ya kutesana itakukuta tu,kwa sababu inatokana na ubaguzi aijali wewe ni mwenzao wa home,Amri ikitoka kwa Josephine tu basi.kumbe ukombozi unaanzia jikoni CDM.
 
Ndugu,
Nani alikuambia Mangula analindwa na binadamu?.

Mangula analindwa na Mungu wake kupitia sheria za nchi.
Mangula analindwa na nguvu za kishetani kupitia kwa sheria za wafuasi wa shetani kina Kova wanaolinda watuhumiwa wa mauaji na kuwashikilia watuhumiiwa wa utesaji.
 
Aisee, wachagga tunaonewa sana sijui kwa sababu zipi tu

Kwamba CHADEMA ni chama cha wachagga, this is too low at all level!

Hivi wachagga walioko CCM wanajisikiaje na propaganda za kipuuzi na kijinga hivi? Ndiyo maana Moshi mjini na manispaa ni ndoto za mchana kuongozwa na CCM!!
 
Dua la kuku halimpati mwewe, Dua la Mvuta Bangi na muuaji kama wewe LEMA haliwapati CCM, Damu ya chacha wangwe itakutafuna sana, LEMA nenda kavute Bangi waache Binadamu wajadili mada.

Hakika wewe funza utakua kwenye akiki ya Nape ndio mana anaropoka ropoka. Inaonyesha ulivyomtumiaji mzuri wa bangi ndio mana kila mda huachi kuitaja au hapo lumumba wanagawa bangi?
 
Chadema hasa hasa Mbowe na Slaa, ni malaghai sana wa siasa, ila naamini Mungu atawahukumu october mwaka huu, wananchi wameshaanza kuwastukia.

Kwa tamko lililosomwa leo kwenye ibada na msisitizo ulioweka hakika ccm itasambaratika. Kuichagua ccm na kuunga mkono katiba ya chenge ni laana na kumchukiza MUNGU.
 

Hakika Lema ni tishio kila post lazima umtaje arusha sahauni kabisa. Naona wewe ndio wamekupa jukumu la kupambana na Lema lkn kumbe unapambana na mtu usiyemfaham. Lema siku zote anakuja na id inayotambulika hana haja ya kujificha kama wewe. Hivi nani anawagawia bangi hapo lumumba naona leo inakuchanganya sana.
 

Kama ccm mnavyoendelea kubaguana na kupeana vyeo na madaraka kwa ukoo,Abeid Aman Karume,Aman Abeid Karume,Abdul wakiri sr,Abdul wakil jr,Mwinyi sr,mwinyi jr,kikwete sr,kikwete jr,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…