Ubadhirifu mkubwa huu hapa, Serikali ya Magufuli yapigwa chenga tena

LAZIMA NISEME

JF-Expert Member
Apr 5, 2015
232
260
Hivi karibuni TAMISEMI NA NHIC zimetoa tenda katika magazeti ya ujenzi wa kanzi data kwa matumizi yao bila kujali kufanya hivyo ni kukiuka kabisa agizo la Wizara husika kutumia kituo kipya cha Taifa cha Kanzi data (DATA CENTER),watanzania wenzangu tumelogwa na nani?

KITUO CHA KANZI DATA CHA TANZANIA ni Kituo ambacho ni cha kwanza kujengwa katika nchi za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati ni fursa mpya kwa wafanyabiashara na wadau mbalimbali wenye taarifa nyingi kuzihifadhi na kuzitumia wanapozihitajika, kinamilikiwa na Serikali na ujenzi wake umegharimu takribani dola za kimarekani milioni 93 deni kutoka Serikali ya China

KITUO CHA KANZI DATA kimetengenezwa kutunza taarifa na usalama kwa uhakika wa kuzitumia wakati wote, ambapo asilimia 75 imetengwa kwa ajili ya kutunza taarifa kutoka sekta binafsi na 25% itatunza taarifa za Serikali. Tumelogwa na nini?

Bado kuna tatizo kubwa na kupenda kununua na kukimbilia Data Center binafsi ambapo zipo below standard. Mfano wizara ya afya wameweka baadhi ya huduma Data Center ya Vodacom na ukiangalia gharama zilizotolewa na data centre ziko chini na pia National Data Center ni Tier 3 State-of-the-art ,Hizi taasisi zinahitaji agizo kali la serikali tu, hawawezi kunyooka shurti kwa muongozo mmoja tu najiuliza tu NEC walifanya hivyo hivyo,NIDA nao wakajenga ya kwao tena kwa Gharama kubwa ukiangalia Kama National Housing, TPA, RITA,TCAA, TAA, MSD,SUMATRA,Taasisi zote za elimu ya juu na wengine wengi Wanakaidi tu bila sababu za msingi, na wanapenda kununua wenyewe Manunuzi yaani upigaji mpya wa awamu hii ya 5, Mh,Dr,Rais wetu hili ni jipu jipya kwa idara Wizara na Taasisi za serikali Manunuzi manunuzi.

Mh Rais Data Center inapunguza gharama kwa kiasi kikubwa sana there is a big difference on cost implication cutting across from IT Facilities to Operations & Maintenance, not only that but Reliability and Service Assurance is guaranteed in terms of Power, Support, Both Intensive and Extensive Operation over-head In short Data Center is the best way to go,serikali kupitia e-gov agency wanauwezo kabisa wa kusimamia hili na likafanyika kwa namna yake wapo tu wakibariki manunuzi mapya maana wao ndio washauri Atii.. kwasababu nadhani hata hili la kuwa na their own DC lazima egov awe involved... Not sure but lazima tuwe na Msimamo as government tunaposisitiza ubadhirifu,na ufujaji wa rasilimali fedha tena kwa wakati huu wa JPM nilitegemea Idara hizi amakujipima upya kama sio kuogopa maana wananchi wengi ni waelewa wa mambo mengi.Huu ni ubadhirifu mpya chini ya serikali ya Dr John Pombe Magufuli,katika hili Lazima Niseme..Mkuu mulika hawa kama hunataarifa.
 

Attachments

  • Screen Shot 2017-05-05 at 7.03.32 PM.png
    Screen Shot 2017-05-05 at 7.03.32 PM.png
    90.2 KB · Views: 37
  • Screen Shot 2017-05-05 at 5.41.26 PM.png
    Screen Shot 2017-05-05 at 5.41.26 PM.png
    28.6 KB · Views: 31
  • Screen Shot 2017-05-05 at 5.58.07 PM.png
    Screen Shot 2017-05-05 at 5.58.07 PM.png
    97.4 KB · Views: 32
Hii data centre ya Taifa imekosa wateja kabisa kwasababu kama taasisi za serikali zenyewe hazitaki kukitumia sasa Private utawashawishi vipi? Mitambo inatumia umeme mwingi,maji mengi and other operational costs but benefit hakuna. Mimi natamani Rais awatimue kazi hawa wakuu wa taasisi za umma zinazotaka kutapanya pesa na kutengeneza mazingira ya upigaji kwenye miradi ambayo tayari kuna mbadala.
 
Inawezekana labda Watu wanahofia usalama WA data zao isije ikawa unapeleka data kuweka kumbe unapeleka kukaguliwa kwa staili....
 
Tuwe na national data storage system moja ihifadhi nyaraka zote za serikali na taasisi itakayokaidi itumbuke
 
Sasa yeye mwenyewe anajifungia ndani na kununua ndege mwenyewe kukuliuka utaratibu kumlinda bashite nani amsikilize yeye
 
wameogopa watu wasije wakasema serikali haikutangaza tender. Anyway itakuwa niajabu taasis za seriklai kupereka data centre kwenye private wakati tunanational centre

Hivi karibuni TAMISEMI NA NHIC zimetoa tenda katika magazeti ya ujenzi wa kanzi data kwa matumizi yao bila kujali kufanya hivyo ni kukiuka kabisa agizo la Wizara husika kutumia kituo kipya cha Taifa cha Kanzi data (DATA CENTER),watanzania wenzangu tumelogwa na nani?

KITUO CHA KANZI DATA CHA TANZANIA ni Kituo ambacho ni cha kwanza kujengwa katika nchi za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati ni fursa mpya kwa wafanyabiashara na wadau mbalimbali wenye taarifa nyingi kuzihifadhi na kuzitumia wanapozihitajika, kinamilikiwa na Serikali na ujenzi wake umegharimu takribani dola za kimarekani milioni 93 deni kutoka Serikali ya China

KITUO CHA KANZI DATA kimetengenezwa kutunza taarifa na usalama kwa uhakika wa kuzitumia wakati wote, ambapo asilimia 75 imetengwa kwa ajili ya kutunza taarifa kutoka sekta binafsi na 25% itatunza taarifa za Serikali. Tumelogwa na nini?

Bado kuna tatizo kubwa na kupenda kununua na kukimbilia Data Center binafsi ambapo zipo below standard. Mfano wizara ya afya wameweka baadhi ya huduma Data Center ya Vodacom na ukiangalia gharama zilizotolewa na data centre ziko chini na pia National Data Center ni Tier 3 State-of-the-art ,Hizi taasisi zinahitaji agizo kali la serikali tu, hawawezi kunyooka shurti kwa muongozo mmoja tu najiuliza tu NEC walifanya hivyo hivyo,NIDA nao wakajenga ya kwao tena kwa Gharama kubwa ukiangalia Kama National Housing, TPA, RITA,TCAA, TAA, MSD,SUMATRA,Taasisi zote za elimu ya juu na wengine wengi Wanakaidi tu bila sababu za msingi, na wanapenda kununua wenyewe Manunuzi yaani upigaji mpya wa awamu hii ya 5, Mh,Dr,Rais wetu hili ni jipu jipya kwa idara Wizara na Taasisi za serikali Manunuzi manunuzi.

Mh Rais Data Center inapunguza gharama kwa kiasi kikubwa sana there is a big difference on cost implication cutting across from IT Facilities to Operations & Maintenance, not only that but Reliability and Service Assurance is guaranteed in terms of Power, Support, Both Intensive and Extensive Operation over-head In short Data Center is the best way to go,serikali kupitia e-gov agency wanauwezo kabisa wa kusimamia hili na likafanyika kwa namna yake wapo tu wakibariki manunuzi mapya maana wao ndio washauri Atii.. kwasababu nadhani hata hili la kuwa na their own DC lazima egov awe involved... Not sure but lazima tuwe na Msimamo as government tunaposisitiza ubadhirifu,na ufujaji wa rasilimali fedha tena kwa wakati huu wa JPM nilitegemea Idara hizi amakujipima upya kama sio kuogopa maana wananchi wengi ni waelewa wa mambo mengi.Huu ni ubadhirifu mpya chini ya serikali ya Dr John Pombe Magufuli,katika hili Lazima Niseme..Mkuu mulika hawa kama hunataarifa.
 
Back
Top Bottom