Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
​Huyo ni miharifu tu kama wahaarifu wengine ashughulikiwe ili atie akili kuvaa mavazi ya CDM na kadi ya CCM siyo kigezo cha kuleta vurugu, apigwe tu huyo kibaka wa DEMOKRASIA!
Mbilingondo Ccm wakitwa ni wahalifu wa siasa watakata?
Uzuri JF siyo ya Baba yako Nor ya Babu yako,nina haki ya kucomment mawazo yangu bila kuingiliwa na Wa-Pu-Mba-vu kama wewe............
Hapa ndio wengi tunapotatizwa na kuingiwa na shaka.....kusuasua au kasoro lukuki za uandikishaji wa wapiga kura kuna faida gani kwa CCM? Nachojua ni kwamba kama zoezi litaenda kombo na watu wenye haki ya kuandikishwa wakaachwa kwa sababu ya mapungufu ya vifaa na waandikishaji, wapo wa-CCM, wa-CHADEMA, wa-CUF na wasio na vyama wataoachwa sasa iwaje washabiki wa CCM watetee au wafurahie?
ivi we domo chafu tatizo nini hapo kwenye uzi.technical problems si ndo kuzingua kwenyewe.na mkileta us.enge huko Arusha mtabutuliwa,
duuu...hizi mashine hivi zinatumia mtandao gani ?
Uzuri JF siyo ya Baba yako Nor ya Babu yako,nina haki ya kucomment mawazo yangu bila kuingiliwa na Wa-Pu-Mba-vu kama wewe............
...Mkuu achananaye huyo kipuku
...Mkuu achananaye huyo kipuku
Wanatumia Tigo
Huwa sipendi kumjibu lakini nilitaka kumpa angalizo tu kuwa si yeye,baba yake au baba yake ana hisa JF..........Na kutoa comment hakulazimishwi kama yeye anatoa pumba aendelee lakini asitukoseshe haki tunaohitaji mawazo mbadala ya kuhoji,kupinga au kuongezea nyama kwenye hoja,siyo kutukana kudhalilisha wala kufunga mawazo ya wengine..
Humu Vijana wengi wa CCM wanaingia kwa nia moja tu ya kuudhi watu wengine......Sipendi kuwajibu sababu naona nawaongezea promo wasiyokuwa nayo...Yaani kuna wengine akili zao utadhani zimeondelewa MARINDA
.....
.....katoto hako bado kana nyonya kameingia jf na mihemko kweli kweli ...Pamoja Mkuu
Huwa sipendi kumjibu lakini nilitaka kumpa angalizo tu kuwa si yeye,baba yake au baba yake ana hisa JF..........Na kutoa comment hakulazimishwi kama yeye anatoa pumba aendelee lakini asitukoseshe haki tunaohitaji mawazo mbadala ya kuhoji,kupinga au kuongezea nyama kwenye hoja,siyo kutukana kudhalilisha wala kufunga mawazo ya wengine..
Humu Vijana wengi wa CCM wanaingia kwa nia moja tu ya kuudhi watu wengine......Sipendi kuwajibu sababu naona nawaongezea promo wasiyokuwa nayo...Yaani kuna wengine akili zao utadhani zimeondelewa MARINDA
Naona wanaringia ufisadi na rushwa zilizoletwa na wazazi...........Ila kuna siku watalia na kusaga meno.KUna wengine watajutia kwanini baba zao walipata hata vyeo.Kaka muda ni dawa..............
.....
.....katoto hako bado kana nyonya kameingia jf na mihemko kweli kweli ...Pamoja Mkuu
Naona wanaringia ufisadi na rushwa zilizoletwa na wazazi...........Ila kuna siku watalia na kusaga meno.KUna wengine watajutia kwanini baba zao walipata hata vyeo.Kaka muda ni dawa..............
Duh wasijekaleta za kuleta tunataka amani.
Na hapa ndipo naona wabunge waupinzani walipolala.Jambo hili lilitakiwa lipelekwe bungeni kama dharula..........Kuna haki za watanzania zinaminywa............