Uamuzi wa Kihistoria Bungeni

Uamuzi wa Kihistoria Bungeni

JPM akitaka kumtekeketeza ampeleke Machinjion Wizara ya Nishati na Madini, Mambo ya ndani au Fedha!
 
Pamoja na pongezi anazopata pia mheshimia ajitahidi kuboresha baadhi ya maeneo yanayotutesa raia wa kawaida kama kupimiwa ardhi.Hili eneo bado sana hasa mkoa wa arusha.
 
Huwezi kuwaona bavicha kwenye uzi kama huu.
Halafu mtu aliechanganyikiwa anawataka wabunge wa ccm waache kusifia serikali,wakati mtu kama Mbowe na Mdee wamekubali
 
Hizi siHasa zina sarakasi kiasi cha kuleta kizunguzungu au makengeza. Anayesifiwa anaelekeza sifa zote kwa mkuu wa nchi ambayo ndio sahihi, hao wanaomsifia huwa wanamponda mkuu wa nchi kwa jinsi anavyonyoosha mambo. Kwa hiyo ni sahihi kuelewa kuwa wanamsifia mkuu wa nchi kwa kazi nzuri kupitia mgongo wa waziri wa ardhi. Huu ni mtizamo wangu tu, naweza kukosea ila nampongeza Lukuvi kwa kuitendea haki wizara ya ardhi.
....Hizi ni pongezi za Lukuvi personally, mbona wenzake walioteuliwa pamoja wamechemsha?
 
Wewe hujitambui, kama Kazi yako ni kusifu na kupamba huwezi jua kwamba kuna nchi Waziri Mkuu ndiye anayebeba nchi wakati Rais ni wa ovyo.
Ni wazi tu kuwa hujaelewa kiini cha bandiko langu. Jaribu kulisoma tena uone kama linaendana na hicho ulichoandika.
 
Back
Top Bottom