Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,315
- 152,113
Ukikatisha mkataba wa mtumishi bila shaka ni lazima umlipe haki zake zote kwa kukatisha mkataba na hapo hapo ni lazima uajiri mwingine kuchukua nafasi yake.
Sasa kwa mfano,mtumishi ana mkataba wa miaka 5 au 3 alafu unaamua kuukatisha mkataba wake wakati amebakiza miaka 3 au 2 kukamilisha mkataba wake. Hapa bila shaka itabidi umlipe haki zake zote kutegemeana na muda uliobaki kwa kuzingatia mashariti ya mkataba na sheria za utumishi wa umma na hapo hapo inakubidi uajiri mwingine ndani ya muda huo.
Sasa kipi bora,usubiri hiyo miaka 3 au 2 iishe au usitishe mkataba wa mtumi kisha umlipe na hapo hapo uajiri mwingine ambae itabidi nae umlipe mshahara wa hiyo miaka 3 au 2 iliyokuwa imebaki?
Je,hii si itakuwa ni gharama mara mbili ya kulipa watu wawili tofauti (mwajiriwa mpya na yule uliemsitishia mkataba) kwa kazi moja ndani ya muda ule ule (miaka 3 au miwili iliyokuwa imebaki)?
Sasa kwa mfano,mtumishi ana mkataba wa miaka 5 au 3 alafu unaamua kuukatisha mkataba wake wakati amebakiza miaka 3 au 2 kukamilisha mkataba wake. Hapa bila shaka itabidi umlipe haki zake zote kutegemeana na muda uliobaki kwa kuzingatia mashariti ya mkataba na sheria za utumishi wa umma na hapo hapo inakubidi uajiri mwingine ndani ya muda huo.
Sasa kipi bora,usubiri hiyo miaka 3 au 2 iishe au usitishe mkataba wa mtumi kisha umlipe na hapo hapo uajiri mwingine ambae itabidi nae umlipe mshahara wa hiyo miaka 3 au 2 iliyokuwa imebaki?
Je,hii si itakuwa ni gharama mara mbili ya kulipa watu wawili tofauti (mwajiriwa mpya na yule uliemsitishia mkataba) kwa kazi moja ndani ya muda ule ule (miaka 3 au miwili iliyokuwa imebaki)?