Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,574
- 3,029
Nimeamini uaminifu kwenye ndoa ni suala gumu hasa Kwa sisi wanaume.Ni heri mwanamke ambaye anaweza akakupenda na kutokana na huo Upendo akashindwa kukucheat.
Lakini Kwa upande wa wanaume Upwiru unakaba koo ni vigumu Sana kukaa na mke mmoja huyo huyo.Utakazana utakazana lakini mwisho wa siku unazama kwenye dimbwi la wazinzi.
Maana Kila unapopita wanawake wazuri wanapita pita Hadi unachanganyikiwa.Ukikaa Kidogo mara Ketty hujatulia mara Vanessa hujatulia mara Pamela kidogo hujatulia mara unakutana na Salome au Saraphina.Ni vurugu tu Kila sehemu.Na wote unakuta ni wazuri wamejazia kama sio mbele basi nyuma au kote kote.Unaweza tembea mjini jogoo anawika tu Kila muda.
Kuepusha Shari hili wanaume tunaona isiwe tabu tunatongoza na kupita nao kama kimbunga ingawa Bado tunawapenda Sana wake zetu.Nyie nyie nyie na ukizingatia muda mwingine mke Anadai Hajiskii au anakunyima.Tutakimbilia wapi sisi wadhaifu.
Wanawake watatufanya tule mtaji au tusahau ndoa.
Lakini Kwa upande wa wanaume Upwiru unakaba koo ni vigumu Sana kukaa na mke mmoja huyo huyo.Utakazana utakazana lakini mwisho wa siku unazama kwenye dimbwi la wazinzi.
Maana Kila unapopita wanawake wazuri wanapita pita Hadi unachanganyikiwa.Ukikaa Kidogo mara Ketty hujatulia mara Vanessa hujatulia mara Pamela kidogo hujatulia mara unakutana na Salome au Saraphina.Ni vurugu tu Kila sehemu.Na wote unakuta ni wazuri wamejazia kama sio mbele basi nyuma au kote kote.Unaweza tembea mjini jogoo anawika tu Kila muda.
Kuepusha Shari hili wanaume tunaona isiwe tabu tunatongoza na kupita nao kama kimbunga ingawa Bado tunawapenda Sana wake zetu.Nyie nyie nyie na ukizingatia muda mwingine mke Anadai Hajiskii au anakunyima.Tutakimbilia wapi sisi wadhaifu.
Wanawake watatufanya tule mtaji au tusahau ndoa.