Ndetanyau
Member
- Dec 8, 2012
- 37
- 4
Mwl katunga mtihani, wakati wa kusahisha kajisahau akaacha making scheme katikati ya karatasi za wanafunzi. Baadaye kaamua kutunga nyingine, baada ya kuendelea kusahisha, kasahisha mpaka ile making scheme ya mwanzo na kaijaza maksi. Eti 70%, kaanza kuonyesha walimu wenzake akidai kwamba ndo mwanafunzi wa kwanza. Mwl m1 kamuuliza 'ni nani huyo jina lake? Ticha ndo anashtuka ni yy mwnyw kajisahisha. Hiyo ni noma jamani. Teacher without content knowledge. Mh big up 2teachers.