Munch wa Annabelle
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 6,274
- 10,843
Walimu mpo!!!
Niende Kwenye mada, hii kada ni kama inalaana maana watumishi wao wanaoishi kama kuku, hawawaz mbele wao wanaangalia hapohapo alipo tu, wakijitahidi sana basi atajiongeza kuwa bodaboda, mpesa uchwara, duka njaa, upishi kweny sherehe uswahiln na semina, tuishen na kuuza ubuyu na bagia kwa wanafunz.
Tukija kweny dharula nilioweka hapo kweny mada, ikitoa mwalimu kapata kesi ambayo akatiwa hatiani na kupewa hukumu ya miaka 3 jela au faini milion 3, bas asilimia 90+ the wataenda jela,
Na hao watakao baki hiyo 10% watapona kwa kukopa kopa sio kwa kutumia akiba zao.
Hawa watu hata akiba ya 500k ndani asilimia 60+ hawana.
Wakijitahidi kuwekeza to the maximum bas atafuga kuku wa kisasa kroiler na broiler huo ndo uwekezaji wao mkubwa na wa mwisho Kabsa.
Hii kada hata ukikaa kuongea nao hawana madini kabsa, hawana exposure wala hawapendi kujifunza.
Na ukimkuta mwalimu mjanja mjanja basi ni yule anaeangalia muvi za Hollywood nyingi kuliko wenzake, bas hapo shulen ndo ataonekana mjanja na anajua mambo mengi.
Kwaleo inatosha
Niende Kwenye mada, hii kada ni kama inalaana maana watumishi wao wanaoishi kama kuku, hawawaz mbele wao wanaangalia hapohapo alipo tu, wakijitahidi sana basi atajiongeza kuwa bodaboda, mpesa uchwara, duka njaa, upishi kweny sherehe uswahiln na semina, tuishen na kuuza ubuyu na bagia kwa wanafunz.
Tukija kweny dharula nilioweka hapo kweny mada, ikitoa mwalimu kapata kesi ambayo akatiwa hatiani na kupewa hukumu ya miaka 3 jela au faini milion 3, bas asilimia 90+ the wataenda jela,
Na hao watakao baki hiyo 10% watapona kwa kukopa kopa sio kwa kutumia akiba zao.
Hawa watu hata akiba ya 500k ndani asilimia 60+ hawana.
Wakijitahidi kuwekeza to the maximum bas atafuga kuku wa kisasa kroiler na broiler huo ndo uwekezaji wao mkubwa na wa mwisho Kabsa.
Hii kada hata ukikaa kuongea nao hawana madini kabsa, hawana exposure wala hawapendi kujifunza.
Na ukimkuta mwalimu mjanja mjanja basi ni yule anaeangalia muvi za Hollywood nyingi kuliko wenzake, bas hapo shulen ndo ataonekana mjanja na anajua mambo mengi.
Kwaleo inatosha