mzenjiboy
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 907
- 387
Ni mwanadada mrembo mwenye umri wa miaka 35 kwa jina ni Maryam Al Mansouri ambaye ni fighter pilot kutoka Airforce ya UAE na ambaye ameshiriki katika operesheni ya kupiga
Waambieni IS, kuwa mpiganaji akiuawa na mwanamke hataionja pepo
Huwa hata mimi nashangaa dini zingine kuabudu Binadamu.Hahaha!!! afu hizi sheria za hii dini huwa sizielewi kabisa, sasa mbona mwanamke anaruhusiwa kuendesha ndege lakini hana ruhusa ya gari.
Huwa hata mimi nashangaa dini zingine kuabudu Binadamu.
Yesu alikuwa binadamu na hata siku moja binadamu hawezi kuwa Mungu.Yesu yeye alikuwa jini, malaika au bimaadamu....!?.
Ukipata jibu utakwisha kushangaa
Huyu ana bahati kweli!!
Wakati wenzie wanakatazwa hata kuendesha gari yeye anaendesha Airforce?
Huo utakuwa mfumo kristo tu!
wooooh so sad! to hear that!..unbearable!!Waambieni IS, kuwa mpiganaji akiuawa na mwanamke hataionja pepo
Hahaha!!! afu hizi sheria za hii dini huwa sizielewi kabisa, sasa mbona mwanamke anaruhusiwa kuendesha ndege lakini hana ruhusa ya gari.