mkandumbwe JF-Expert Member Joined Aug 22, 2015 Posts 424 Reaction score 371 Feb 12, 2017 #1 Salaam. Kuna mdau humu anaitwa Abdulwahad alikua ktika uzi kadhaa. Alikua anauza vifaa vya umeme i.e tv toka Zanzibar. Ninahitaji tv ila sioni uzi zake zote. Uko wapi Abdulwahad???
Salaam. Kuna mdau humu anaitwa Abdulwahad alikua ktika uzi kadhaa. Alikua anauza vifaa vya umeme i.e tv toka Zanzibar. Ninahitaji tv ila sioni uzi zake zote. Uko wapi Abdulwahad???
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 59,411 Reaction score 135,040 Feb 12, 2017 #2 mkandumbwe said: Salaam. Kuna mdau humu anaitwa Abdulwahad alikua ktika uzi kadhaa. Alikua anauza vifaa vya umeme i.e tv toka Zanzibar. Ninahitaji tv ila sioni uzi zake zote. Uko wapi Abdulwahad??? Click to expand... Angalia juu kabisa kuna uzi sticky WAUZAJI WOTE WA TV.....thread yake imeunganishwa humo na yeye yumo humo kila page utamuona.
mkandumbwe said: Salaam. Kuna mdau humu anaitwa Abdulwahad alikua ktika uzi kadhaa. Alikua anauza vifaa vya umeme i.e tv toka Zanzibar. Ninahitaji tv ila sioni uzi zake zote. Uko wapi Abdulwahad??? Click to expand... Angalia juu kabisa kuna uzi sticky WAUZAJI WOTE WA TV.....thread yake imeunganishwa humo na yeye yumo humo kila page utamuona.
mkandumbwe JF-Expert Member Joined Aug 22, 2015 Posts 424 Reaction score 371 Feb 12, 2017 Thread starter #3 RRONDO said: Angalia juu kabisa kuna uzi sticky WAUZAJI WOTE WA TV.....thread yake imeunganishwa humo na yeye yumo humo kila page utamuona. Click to expand... Thanks
RRONDO said: Angalia juu kabisa kuna uzi sticky WAUZAJI WOTE WA TV.....thread yake imeunganishwa humo na yeye yumo humo kila page utamuona. Click to expand... Thanks
Pastor Achachanda JF-Expert Member Joined May 4, 2012 Posts 3,023 Reaction score 1,317 Feb 12, 2017 #4 Kwa kuwa ni waZanzibar atakuwa huko
Mateja M.G Yango JF-Expert Member Joined Feb 17, 2013 Posts 613 Reaction score 1,097 Feb 13, 2017 #5 Nadhani ndio huyu mkuu, uzuri wa huyu jamaa unaweza lipia mzigo on delivery.
Abdulwahid JF-Expert Member Joined Apr 3, 2014 Posts 2,766 Reaction score 1,578 Mar 7, 2017 #6 mkandumbwe said: Salaam. Kuna mdau humu anaitwa Abdulwahad alikua ktika uzi kadhaa. Alikua anauza vifaa vya umeme i.e tv toka Zanzibar. Ninahitaji tv ila sioni uzi zake zote. Uko wapi Abdulwahad??? Click to expand... Mkuu nipo sijui kama ulisha nitafuta ama laa, kama bado na hujafanikisha shida yako unaweza kunicheki 0777650286 & 0718919725
mkandumbwe said: Salaam. Kuna mdau humu anaitwa Abdulwahad alikua ktika uzi kadhaa. Alikua anauza vifaa vya umeme i.e tv toka Zanzibar. Ninahitaji tv ila sioni uzi zake zote. Uko wapi Abdulwahad??? Click to expand... Mkuu nipo sijui kama ulisha nitafuta ama laa, kama bado na hujafanikisha shida yako unaweza kunicheki 0777650286 & 0718919725