KWANZA APAMBANE NA VIMBUNGA NA HASARA VILIVYOSABABISHA HUKO KWENYE MAJIMBO YAKETrump hawezi fanya lolote.
Mkuu vita ikianza kiduka asijibu kwa nyuklia kwani itaisha mamema sana ndani ya masaa ila Slaa za kawaida atavutavuta mda.Trump hawezi fanya lolote.
Trump anazingua tu. Mbwembwe nyingi mno.Mkuu vita ikianza kiduka asijibu kwa nyuklia kwani itaisha mamema sana ndani ya masaa ila Slaa za kawaida atavutavuta mda.
Duuh..!! Bila shaka U.S inajiandaa kwa vita na NK.. We have seen and heard war of words kati ya U.S and NK for a while now, nadhani Trump anajiandaa kuliamsha Dude..!! Maskini Kiduku..!!
Hivi Mubage alimshauri nini Kim juu ya USA?.Hakuna Vita hapo mnapoteza muda tu, USA hawezi kuivamia Korea Kaskazini bila kuweka mambo sawa na Korea Kusini, Ujapani, Uchina na Urusi! Wakorea ni Waasia, higher IQ, hao siyo kama sisi Waafrika au Waarabu!
Amna vita apo, marekani hana uwezo wakupigana na NORTH KOREA.Duuh..!! Bila shaka U.S inajiandaa kwa vita na NK.. We have seen and heard war of words kati ya U.S and NK for a while now, nadhani Trump anajiandaa kuliamsha Dude..!! Maskini Kiduku..!!
mkuu umeniwa the same questionhajafika tu huko NK mpaka leo
Hivi Mubage alimshauri nini Kim juu ya USA?.
Mugabe nae kwikwi aiseee....nawakubali sana Mugabe na Kim hakuna kuoneana

Waarabu sio Waasia? Naona unajichanganyaHakuna Vita hapo mnapoteza muda tu, USA hawezi kuivamia Korea Kaskazini bila kuweka mambo sawa na Korea Kusini, Ujapani, Uchina na Urusi! Wakorea ni Waasia, higher IQ, hao siyo kama sisi Waafrika au Waarabu!