America Ina 3 branches of government .Na congress Ina power zaidi ya Raisi .obama yeye ni signature na ana uwezo wa KU issue executive order kwa vitu vichache .
kwani hao congress hawajui kwamba ku shut down govt kuna hasara kuliko faida? au wamesahau ya mwaka 95/96... na Obama care ilipitishwaje kama wao wenye power zaidi ya raisi hawakushiriki kuipitisha, kama walishiriki iweje sasa wageuke wakati wa kuweka kwenye bajeti maamuzi waliyopitisha wenyewe....au ndio yale yale ya mtoto kuvurumisha tantrum na kuvunja vyombo kwa sababu ambayo haieleweki labda kanyimwa cookies?? uchumi wao leo hii na uchumi wa dunia si sawa na miaka ile.....wakicheza itakula kwao sasa hivi