kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 322
- 902
salama sana Kenny, yaani huu uzi umenifanya nichelewe kwenda lunch
yaani mbavu sina hapa
duuuh JF kiboko ya kuondoa stress
Kwani hata nimeshanyanyuka kwe kiti? huu uzi kiboko ya mujini.,,,nitaenda around saa sabanomaa sana mkuuu jf kiboko ya kutoa stress mkuu pande zp unapata lunch ?
Mtoto hajibu texts za messenger.
Hahaha dah umemuambia asijibu watu wa FB nini
Nimerudisha majeshi mkuu,
Dogo kumbe alirenew line afu siunajua hajui issue za kusave namba kwa email, so nlivomcheki akanambiaa hakuwa na namba yangu, saiv tunaongea na Jana kanipigiaaa
Hapanaa hata sijamuuliza lolote kuhusu fb na MessengerHahaha dah umemuambia asijibu watu wa FB nini
Ana sura innocent si mchezo. Sema picha zake zimejificha siwezi toa marks za mwili.Hapanaa hata sijamuuliza lolote kuhusu fb na Messenger
Vp lakin mtoto unamuonajeee
Ntakutumia full umuoneAna sura innocent si mchezo. Sema picha zake zimejificha siwezi toa marks za mwili.
Pamoja broNtakutumia full umuone
Sasa mkuu nimekuja kuomba ushauri tena wewe unaanza kunisema sema
Tell emWewe endelea kulamba lips km nyoka ,wenzio wacha waendelee Kula tunda kimasihara
Afu aka katoto ndio maana demu alikabwaga ,mwanaume unawezaje jikuta kiivooo. Tena mademu wakali katawasikiaga tuu ..Kuna mwamba mmoja vyumba vyetu vipo jirani sana mshikaji ni bad boy na muonekano wake wa kishamba tu yani ni mtu ambae namzidi kila kitu kuanzia muonekano uvaaji mpaka maisha
Hii inatosha kuonesha jinsi gani wewe ni teenager
Kavutiwa na muhuni anayewatindua mademu kila siku akapata uhakika kama anawatindua daily basi jamaa atakuwa na nguvu za kiume za kutosha.Yani hapa naongea kwa jazba sana iko hv, hapa nilipopanga somewhere in Kijitonyama kuna wanawake wengi sana ila asilimia kubwa ni wake za watu sema ndio hivo pia uwalu walu mwingi ukiwa mjanja unacharaza wote.
Sasa mimi kitabia ni nice guy sana yani ni mtu nisiye na mambo mengi huwa nipo bize tu na shughuli zangu, madem wengi wamekuwa wakijilenga sema huwa atufiki mbali tunaachana nadhani kutokana na tabia zangu za kuwa cool sana.
Sasa juzi kati kuna mpangaji mwenzangu alimleta mdogo wake mtoto mmoja mzuri sana kutoka kibaha huko ni mdada mkubwa tu sema ni mzr balaa basi yule dem akaanza kuniletea mazoea kibao yani dem alikuwa kanielewa mbaya nikaona bac hapa tayari nishaokota dodo chini ya mnazi bac mimi na unice guy wangu nikawa najipanga namna ya kuanza kupeleka mashambulizi nadhani mnajua introvert huwa atukurupuki.
Sasa tukiachana na hilo pia kuna mwamba mmoja vyumba vyetu vipo jirani sana mshikaji ni bad boy na muonekano wake wa kishamba tu yani ni mtu ambae namzidi kila kitu kuanzia muonekano uvaaji mpaka maisha kwahiyo alikuwa anipi presha hata kidogo ni mtu wa tandale huko sema tu kaja kuishi sehem iliyoostaarabika, bac huwa anakuja pale home na wahuni wanakula bangi za kutosha na pombe ngumu k-vant na konyagi kwa sana bac jamaa huwa analeta madem pale gheto kwa siku anabadilisha hata watatu sometime anaingiza hata wawili kwa mpigo sometime wanakuwa washkaji watatu na madem watatu bac kinachoendelea humo ndani balaa harufu ya bangi na madem wanapigwa shipa mpaka nje huku watu wanasikia.
Basi bhana kwa tabia zile za mshkaji ndio nikazidi kuwa na amani kwamba jamaa kwa anachokifanya bac awezi kumchukua dem yoyote hapa ukizingatia mimi ni mstaarabu sana yani hata kuingiza dem pale gheto sijawahi bac hapo nikaamini kwamba nina nafasi kubwa ya kumnasa huyu dem mpya aisee kumbe nilikuwa najidanganya maana yule dem mazoea ya kaanza kupungua nikajaribu kuyaforce tukawa fresh ila nlivomtokea dem akachomoa halafu akanikataa mazima aisee niliumia sana.
Sasa leo muda wa saa mbili kasoro usiku huu nimetoka kwenye harakati zangu dem akanipa simu yake nimsetie muda sasa wakati naset c ikaingia text ya yule mwamba jirani yangu bad boy mtoto wa tandale anamwambia dem yeye tayari ashafika lodge flani manzese aisee niliingiwa na baridi yani sikuamini macho yangu.
Nikawaza hv huyu dem amekosa nini kwangu mpaka aende kwa muhuni kama huyu yani mimi na usmat wangu kanipiga chini kaenda kumkubalia mvuta bangi muhuni mzee wa kubadilisha madem na huyu dem anajua fika jinsi jamaa alivyo na madem wengi na bado kamkubalia pamoja na uhuni wake mimi mtu smart ambae sina tabia hizo nimepigwa chini aisee yani hapa nilipo nimechoka nimemrudishia cm yake na tayari muda huu yuko njiani kwenda kutinduliwa na muhuni. Nimeumia sana kwakweli sijui sisi nice guy huwa tunashida gani maana huyu nikama dem wa 8 namkosa kizembe kutokana na atitude zangu.
Naombeni msaada nifanyeje niachane na huu u nice guy maana sioni faida zake kwenye kutafuna mbususu zaidi ya hasara tu nikikumbuka yule dem alivyomzr et anaenda kutinduliwa na yule muhuni muda mfupi ujao nazidi kuchanganyikiwa
Jamaa anajihukumu kwa kutumia akili ya mwanamkeIshi maisha yako utampata wa kufanana naye,concentrate na shughuli zako,hao mara nyingi hurudi kukutafuta akili ziki wakaa sasa. Sasa hivi bado akili yake haijakua.
Mvuta bangi hachelewi kunyonya hata 0713..ukute ameskia jamaa muhuni anasifiwa na wanawake wengine hapo.