Vichwa vya Msondo Ngoma Music Band ilikuwa ni balaa kabisa; Mzee Gurumo Mwenyewe, TX Moshi William, Seleman Mbwembwe, Joseph Maina bila kumsahau Athumani Momba. Mwenyezi Mungu aziweke roho zenu mahali pema Amen.
Wale watatu wa mwanzo yaani Gurumo, Moshi na Mbwembwe ndo huwezi choka wakati unasikiliza jinsi wanavyoimba. Dah kifo hiki jamani, ndo maana Dk Remmy aliimba kifo hakina huruma.