Two and a half men v/s the big bang theory

Two and a half men v/s the big bang theory

thedaydreamer

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
372
Reaction score
88
hiz ni tv series zilizo chini ya genius chuck lorre, jamaa ana asili ya israel na moja ya vitu vinavyofanya asifike ni hz series, 2 n half men kidogo ilichange baada ya charlie sheen kufukuzwa kutokana na tabia zake za ulevi ila walden kaziba gep, the big bang theory ni shidaaa, karibu kuchangia kwa anyezifatilia, kwanin unazipenda na ip ni best
 
2 En half men ckuipenda so sikuifatilia... io big bang theory ndo naiskia kwako... nidokeze kidogo ili nifanye mpango wa kuitafuta
 
wapo jamaa magreat scientist kwenye field tofauti, sheldon(theoretical physician) hajui chochote kuhusu socialization na watu ana complicate kila kitu kisayans mpaka sit anayokaa anaipikia hesabu mda wa summer, winter etc, huyu ndo unafurahisha sana manake yeye anawapa wakati mgumu watu wote walio karibu nae, mwingine ni leonard naye pia ni scientist yuko moderate ana mahusiano na penny(waitress) ambae hajui ata bwana ake anafany kaz gan manake hajaenda shule, mwingine ni howard na rajesh aliyetokea india ambaye season 1 to 6 hawaz kuongea na msichana yoyote yule bila pombe, wote ni madokta isipokuwa howard ana master ya eng. Ni very funny
 
Big bang theory, 2 and a half men kwangu imepoteza ladha tangu Charlie sheen asepe na jake alivyokuepo full
 
Charles sheen is the greatest; akiwa chini ya wanaume wawili na nusu, he was the one who made the serie watchable, living the really life with a house in Malibu, was extraordinary , Big Bang theory is a bunch of kids doing childish stuff.
jamaa alikuwa anaish anachoigiza, ulevi, n.k ndo wakamfukuza akawashtak wakamlipa ela ndef tu
 
Charles sheen is the greatest; akiwa chini ya wanaume wawili na nusu, he was the one who made the serie watchable, living the really life with a house in Malibu, was extraordinary , Big Bang theory is a bunch of kids doing childish stuff.

Charlie Sheen alikua mkali sana tangu alipoondoka seasons zilizofuata akiwa Ashton hazikunoga sana ingawa Allan nae kipaji sana yule na toto lake jinga Jake
 
Sheldon Cooper, benard, penny, walowitz na rajesh...aaah hii series acheni tu...
 
Chuck Lorre alifanya 2 and Half Men with Charle Sheen, na hawezi kufanya kitu kama ile teeeeeeeeena. Maisha yanaendelea, but things like that happens only once.
 
either way around chuck lorre ni genius, jamaa ana utaratibu wake wa zile cards zenye number huwa zinapita mwisho wa kila episode ni maneno tu na huwez kuyasoma unless upige pause, ule ni ubunifu kweli, na mama yake walowatz kusikika tu saut bila kuonekana it makes it more ingawa now she is really dead.
 
hiz ni tv series zilizo chini ya genius chuck lorre, jamaa ana asili ya israel na moja ya vitu vinavyofanya asifike ni hz series, 2 n half men kidogo ilichange baada ya charlie sheen kufukuzwa kutokana na tabia zake za ulevi ila walden kaziba gep, the big bang theory ni shidaaa, karibu kuchangia kwa anyezifatilia, kwanin unazipenda na ip ni best



Two and a half Men ndo mpango mzima...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom