Katika hali ya kustaajabisha, mtandao wa Twitter ambao kwa sasa unamilikiwa na Elon Musk umefuta huduma ya mijadala ya sauti maarufu kama Twitter Spaces.
Hongera sana Elon kwa hilo ,wanaume wa kitanzania iliwafanya kubweteka mfano Lema na Lisu ilikuwa kazi kushinda kwenye twiter space wakasahau hata kufua nguo za Amsterdam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.