Twitter breaks its silence on possibly unconstitutional FBI data requests

Utawala wa Trump demokrasia na Katiba imewekwa pembeni kwanza. Tutaona mengi utawala wa huyu jamaa.

Mengi ya hayo tutakayoona, pia ni pamoja na kushindwa kwa fikra zake binafsi sana tu na kuwavunja na kuwakatisha tamaa wanaomshadadia....

Trump hawezi kupenyeza baadhi ya matamanio yake binafsi kama anavyofanya huyu wa hapa kwetu Tanzania.

Ni kwa sbb huko kuna very strong CHECK and BALANCE institutions ambazo haziwezi kuruhusu ujinga wa mtu mmoja uathiri taifa zima!!

Amini usiamini, baadhi ya Presidential executive orders zake zingine alizosaini zimeshapigwa stop tayari, haziwezi kutekelezwa mpaka kwanza wapime na kuona cons na pros!!
 


Umeanza vizuri ila umemaliza vibaya ...hayo Maswali yangu ungeyaelewa ungetambua kwamba kunatofauti kubwa sana ...tena sana ya ufafanuzi wako na uhalisia wa Usalama wa Nchi kama inavyotumika hapa nchini. Usalama hauhitaji kubeba dhana za kufikirika.Issue ya Osama nitofauti sana Kama mbingu na Ardhi hata sisi tulivuka kumsaka Idd Amin ...kule kwao uganda tukafanya tuliyo yafanya na nchi ikateleza haijarudi kwenye barabara hadi leo..... Ni meuliza Usalama wa Nchi(TAIFA) ni nini (Kiwango na Kipimo chake ni Kipi) na nani anapima na kuamua kwamba sasa hili ...linahusu usalama hatua fulani zichukuliwe....Je ni jambo gani linafanya au likifanyika tutaliona kama linatishia Usalama wa nchi....Kukosoa serikali inayo kuka Katiba....Kufanya Mikutano ya Kisiasa.... Kupinga Kauli za kibabe za watawala na vitisho kwa vyombo vya habari? kukosoa umangi meza na kiburi cha Utawala wa watawala?...Kile kilichofanywa na Marekani ni kinyume Kabisa cha sheria za Kimataifa achana na Haki za Binadamu.....Ukimya huu wa Pakistana ni kwasababu mkubwa akijamba amepumua.... Kimsingi lazima utofautishe na uchore mstari kati ya sencorship Uhuru wa Kupata habari...uhuru wa Maoni na Uhuru wa faragha za watu....HUWEZI KUWA NA USALAMA WA NCHI KAMA WANANCHI WENYEWE HAWAKO SALAMA.
 
Mababa na vilanja wa demokrasia duniani na wao wanaamini wanatakiwa waweze kupata taarifa za mtu yoyote wanayemshuku, ila sisi watz tunalilia uhuru usio na mipaka.
Hiyo haina shida hata kwetu tatizo hatuna watu wenye kifua wa kutunza siri katika kizazi hiki tofauti na miaka ya nyuma yaan mtu akikuambia ni askari au mwanausalama unamwamini na hata akiwa na taarifa za siri kuhusu wewe huwezi kuzisikia popote (kuanzia telephone operator, posta, na wanausalama wote walikuwa wanavifua). Lakini sasa hivi issue nyeti unaisikia live tu
 
National security over everything, picha zako za utupu au privacy yako si chochote si lolote linapokuja suala la national security, fikiri kabla ya kuandika
 
Anatamani kuendesha Nchi kwa matamanio binafsi. Na Ile sera yake ya wagawe uwatawale.
 
Mababa na vilanja wa demokrasia duniani na wao wanaamini wanatakiwa waweze kupata taarifa za mtu yoyote wanayemshuku, ila sisi watz tunalilia uhuru usio na mipaka.

yes wanataka tuanze kuvurugana , ili baade waje watuuzie silaha na kuchukua resilimali zetu , lakini sisi tuko kama mazuzu , kushangilia tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…