Twendeni sote kanisani

Luthar

JF-Expert Member
Jul 29, 2011
519
105
Nimetazama dunia ilivyo na watu walivyo kuwa kama wanyama .embu tumrudie bwana wa majesh naye ni YESU . Amen
 
Anza kumbembeleza raisi Fidel Castro , Kingunge, na waganga wa jadi!
 
✡(¯`´•.¸(¯`´•.¸ ________ღ✡ღ_________ ¸.•´´¯)¸.•´´¯)✡
..✡ שבת שלום ✡♥ ✡ I LOVE ISRAEL ✡ ♥ ✡ Shabbat Shalom✡
✡(_¸.•´´(_¸.•´´ ¯¯¯¯¯¯¯¯ღ✡ღ¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ´ •.¸_) ´´•.¸_)✡
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br <br />
Nadhani kanisani kunaweza kukusaidia kutoka kwenye imani ya mapepo pamoja na vinyamkera
<br />
<br />
Kama ningeona mahala popote katika bible panasema kuwa ukristo ni dini, mimi ningekuwa wa kwanza ku-join nawe.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kama ningeona mahala popote katika bible panasema kuwa ukristo ni dini, mimi ningekuwa wa kwanza ku-join nawe.
karibu kanisani tuondoe utitiri wa majini yanayo kuziba macho na masikio
 
Karibu kwenye kanisan fgbf kwa kakobe uje kupokea kutoka kwa Mungu ibada hinahanza saa4 hasubui
 
Weye ulie jiunga juzi ushajuwa mpaka maisha ya wana JF, kkazi kweli kweli<br />
<br />
<a href="http://nostrandom.blogspot.com/2011/07/uislam-ni-daraja-la-kwenda-jehanam.html" target="_blank">nostrandom: Uislam ni Daraja la kwenda Jehanam</a>
<br />
<br />
ukristo ni daraja la kwenda jehanam
 
Weye ulie jiunga juzi ushajuwa mpaka maisha ya wana JF, kkazi kweli kweli&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;a href=&amp;quot;http://nostrandom.blogspot.com/2011/07/uislam-ni-daraja-la-kwenda-jehanam.html&amp;quot; target=&amp;quot;_blank&amp;quot;&amp;gt;nostrandom: Uislam ni Daraja la kwenda Jehanam&amp;lt;/a&amp;gt;
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Genesis huyu dogo alikuwepo toka toka siku nyingi kazi yake ni kuvuruga tu,sasa akapigwa ban na JF alipoona hivyo akajiregister kwa I'd nyingine,ndio maana unakuta anajisahau anaropoka.
 
&lt;a href=&quot;http://www.youtube.com/watch?v=yVRyq7qTw5E&amp;amp;feature=related&quot; target=&quot;_blank&quot;&gt;Waislamu Wote ni Makafiri asema Allah - YouTube&lt;/a&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Tatizo lenu ni moshi wa kitimoto umewaganda kwenye vichwa vyenu.hoja anayojaribu kuizungumzia huyu jamaa kakosa ufahamu wa kufahamu ni anachokiongea.<br />
<br />
mwenyezi mungu mbona kasema wazi kabisa kuwa hapana mungu ila yeye na asieamini hilo yeye ni kafiri. Waislamu tunaamini uwepo wa mungu mmoja hana mshirika,hakuzaa wala hakuzaliwa. Kafiri ni yule anaesema mwenyezi mungu kajifanyia mtoto na ana washirika.<br />
Haya maneno mnayasema nyinyi kwa hivyo utaona moja kw moja sehemu ya ukafiri uliozungumziwa hapo unawalenga nyinyi.<br />
<br />
kuhusu muhammad ajui atakachofanywa huko anakoelekea, ni sahihi kabisa. Sababu ni kwamba,yeye ni binadamu alipewa kazi na mwenyezi mungu ya kuja kulingania watu. Sasa anaejua kama ile kazi kaifanya kama alivyoagizwa ni mwenyezi mungu peke yake. Mitume wote watakuja kuulizwa juu ya yale waliogizwa.<br />
<br />
kuhusu Yesu aliposema mimi ni njia ya kweli na uzima,mtu hawezi kwenda kwa baba ila kupitia kwangu,anamaanisha kuwa yeye ana maagizo aliyopewa na mungu, hivyo basi kama unataka kuuona ufalme wa mungu, sharti kwanza ufuate ule utaratibu ambao Yesu kawekewa na mwenyezi. Nikupe mfano mdogo tu wa kidunia ambao wanadamu tumejiwekea. Unaweza ukaenda kwenye ofisi ya mtu, kwenye hile ofisi hautakurupuka tu kuingia hapana. Upo utaratibu ambao utaukuta umewekwa wa kuweza kumpata yule uliemkusudia kuonana nae. Kama ni secretary utamkuta,utamweleza shida zako,kisha yeye atakupa utaratibu mzima wa pale mpaka kufika huko unakokuhitaji. Kwa hivyo Yesu alikuwa secretary wa mwenyezi mungu kama ilivyokuwa kwa mitume wengine waliomtangulia. Acheni kula kitimoto ili mpate kufunguka ki-fikra.<br />
<br />
<br />
.
 
Back
Top Bottom