TV1 mnafaa kuitwa watz....miaka ile ilikuwa itv ikaja tbc1. Asante kwa kutupa mzipo wa epl....naona liverpool na burney leo na mzee wetu dr leakey wa kipindi kile channel ten na akina ndimbo na oresti kawau.....
hebu mje na uefa pia.
Tunahitaj chanel kama hizi walau na azam hii supersport kila mwezi 200,000 acha ile vumbi tu
hebu mje na uefa pia.
Tunahitaj chanel kama hizi walau na azam hii supersport kila mwezi 200,000 acha ile vumbi tu