Tanzania kuna uhuru wa kuanzisha vyombo vya habari ila si uhuru wa habari zenyewe ..hata kama tutakuwa na tv stations 500 na redio 10000 haitasaidia kama uhuru wa habari zenyewe haupo na hapo ndo tunatakiwa kukazia huku tukiita Tbc escrow II kwani wanatumbua kodi zetu kwa miaka yetu bure,