gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,669
- 2,165
kwa kweli TV za nchi hii pamoja na TV ya Taifa hazitufai,sasa hivi ni saa kumi na moja Asubuhi watu wako macho kuwasiliana kupitia jamii Forum kujua kinachoendelea kwenye uchaguzi wa mitaa cha ajabu TV zetu zinatangaza habari za nchi za nje. tunaishukuru Redio moja ya Arusha kutuletea baadhi ya matokeo mpaka saa sita usiku kupitia kwa mtangazaji wake aitwae Sheikh mdoe