mikumiyetu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 1,309
- 942
Mkuu ninalaini ya zantel kifurushi gani kizuri unajiungagaHutajuta
Mkuu ninalaini ya zantel kifurushi gani kizuri unajiungagaHutajuta
Bao Bila kikomoMkuu ninalaini ya zantel kifurushi gani kizuri unajiungaga
Nakipata kwa menu ipi mkuuBao Bila kikomo
*149*15#Nakipata kwa menu ipi mkuu
Nimekupata mkuu shukran. ngoja nitafute huu HDMI."RCA" ndio zile nywaya 3 ..Njano, Nyeupe na Nyekundu kiongozi ila HDMI ndo ule waya 1 unaofanana na chaja za smartfone.
True ndo nawaza mimi apa nina inch 43 zile channel ambazo sio hd zinaonyesha vibaya mno,sasa sipati picha wenye inch 65 huko sijui wanaangaliaje channel mfano eatvndomana sitaki kuwa na tv zaidi ya inch 40 kwasababu anything less than 4k lazima uone picha mbaya tu
hiyo itakua ni startimes katika ubora wa picha dekoda nzuri ni dstv na azam tv kwanza ukitumia startimes utaona tv yako kimeo mzee kumbe walaa.True ndo nawaza mimi apa nina inch 43 zile channel ambazo sio hd zinaonyesha vibaya mno,sasa sipati picha wenye inch 65 huko sijui wanaangaliaje channel mfano eatv
Hayo ni maji ya kunywa mkuuHayo makopo pembeni ni dawa ya covid19 au nini?
Makopo ya kukojolea movie ikiwa imekolea usiku wa manane mkuuHayo makopo pembeni ni dawa ya covid19 au nini?
hahahahahhaMakopo ya kukojolea movie ikiwa imekolea usiku wa manane mkuu
Hayo makopo pembeni ni dawa ya covid19 au nini?
Kimeumana!!Makopo ya kukojolea movie ikiwa imekolea usiku wa manane mkuu