gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,203
- 5,780
Kwani wanawatengenezea waafrika?Wao wanatengeneza kwa ajili yao na soko la kwanza wanalolilenga ni wao wenyewe na jamii zao sasa nyie kinachowafanya mtazame chanel zamabeberu ni nini.TBC ipo,tazameni hiyo ambayo ni mahususi kwaajili yenu.wao washazoea ila wanataka bara hili liingie kwenye mkumbo wao